Ndio maana, mama yake ana upungufu wa kujali kwa wanaeHuyu anko wangu alikuwa anaishi na mama yake kinondoni,na mara nyingi mama yake yupo busy,kwahiyo akawa na mda mwingi wa kudhurura sana mtaani
Kifupi hakuwa na mwangalizi yani kama alikuwa anajilea mwenyewe,kwahiyo hamasa za makundi ndio zimemfikisha hapo alipo
Hoja yako imepokelewa kwa mikono miwili 💯🤝🤝🤝Mwenyekiti Rayns kwa ruhusa yako,naomba niwasilishe hoja binafsi
Naomba serikali iimarishe muonekano wa treni ya abiria ya wakazi wa dar,ile treni ni ya mjini lkn muonekano wake hauridhishi kabisa
Kuna haja ya mamlaka husika kulifanyia kazi swala hili walau ikarabatiwe ili iendane na hadhi ya mjini
Naamini kabisa ikikarabatiwa itaongeza mvuto kwa abiria wengi watapenda kutumia usafiri huo
Nawasilisha hoja
Mlizi wa zamu!
Jana sikuwepo, leo soon tu nipo kwenye 2100...
Bia tu, fanta aaah 😅Mchumba njoo kigamboni tunywe bia 😎
Good 🤝💯Leo nalipiaaa
😄😃😀Bia tu, fanta aaah 😅
Umeachwa?😀😃😃Mapenzi bhana.....ku(|)@π!π@
Mlale salama 🤒
😭Najua atanirudia jumanne pasaka ikiisha...Umeachwa?😀😃😃
Pole ndugu😭Najua atanirudia jumanne pasaka ikiisha...
But Y????
Bofya emoji ileile uliyocheka🤒Pole ndugu
😂😃😀😀Bofya emoji ileile uliyocheka🤒
Na kura yangu hupati,tuone kama utapita😉😂😃😀😀