JamiiForums Usiku wa manane
Huyu anko wangu alikuwa anaishi na mama yake kinondoni,na mara nyingi mama yake yupo busy,kwahiyo akawa na mda mwingi wa kudhurura sana mtaani


Kifupi hakuwa na mwangalizi yani kama alikuwa anajilea mwenyewe,kwahiyo hamasa za makundi ndio zimemfikisha hapo alipo
Ndio maana, mama yake ana upungufu wa kujali kwa wanae
 
Mwenyekiti Rayns kwa ruhusa yako,naomba niwasilishe hoja binafsi

Naomba serikali iimarishe muonekano wa treni ya abiria ya wakazi wa dar,ile treni ni ya mjini lkn muonekano wake hauridhishi kabisa

Kuna haja ya mamlaka husika kulifanyia kazi swala hili walau ikarabatiwe ili iendane na hadhi ya mjini

Naamini kabisa ikikarabatiwa itaongeza mvuto kwa abiria wengi watapenda kutumia usafiri huo

Nawasilisha hoja

Mlizi wa zamu!
Hoja yako imepokelewa kwa mikono miwili 💯🤝🤝🤝

Punde utapikea ujumbe wa majibu ya hoja yako 😅💯
 
Back
Top Bottom