JamiiForums Usiku wa manane
2246

Mazungumzo ya Usiku

Kalamu yangu inawamulika maafisa usafirishaji / boda boda,hivi mkiwa juu ya boda boda zenu huwa mnawaza nini?

Kwanini huwa mnaharaka sana kiasi kwamba hamchukui tahadhari mnapo kuwa barabarani,na kibaya zaidi hamfanyi uzembe huo mkiwa wenyewe,isipokuwa mnapo kuwa na abiria wenu


Siku tatu nyuma bado kidogo tushuhudie ajali ya boda na abiria wake watatu,hawa huenda mababa wa familia,kama kawaida kwa haraka zao pale flyover ya njia panda kuelekea veta

Tupo kwenye tata tunatokea karume tunaelekea nyerere road,boda anatoka maeneo ya veta,si akapita mbele ya tata ambayo tayar imekata kona kuelekea nyerere road,yani kama sio break imara za tata wale wangekuwa mochwari now

Kama nyie mmechoka na maisha basi mtambue abiria wenu bado wanapenda kuishi

Mlinzi wa Zamu!
 
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Sawa mimi leo nasikiliza redio nasubiri kipindi cha mkesha wa wahenga cha mbazigwa hassan wa tbctaifa
 
Leo namkumbuka mchezaji mmoja wa yanga,ni marehemu anaitwa hassan gobbos,ambae alikuwa chotara wa kisomali na kigogo akicheza namba 4 na 5 wake alikuwa omar kapera
 
Back
Top Bottom