2246
Mazungumzo ya Usiku
Kalamu yangu inawamulika maafisa usafirishaji / boda boda,hivi mkiwa juu ya boda boda zenu huwa mnawaza nini?
Kwanini huwa mnaharaka sana kiasi kwamba hamchukui tahadhari mnapo kuwa barabarani,na kibaya zaidi hamfanyi uzembe huo mkiwa wenyewe,isipokuwa mnapo kuwa na abiria wenu
Siku tatu nyuma bado kidogo tushuhudie ajali ya boda na abiria wake watatu,hawa huenda mababa wa familia,kama kawaida kwa haraka zao pale flyover ya njia panda kuelekea veta
Tupo kwenye tata tunatokea karume tunaelekea nyerere road,boda anatoka maeneo ya veta,si akapita mbele ya tata ambayo tayar imekata kona kuelekea nyerere road,yani kama sio break imara za tata wale wangekuwa mochwari now
Kama nyie mmechoka na maisha basi mtambue abiria wenu bado wanapenda kuishi
Mlinzi wa Zamu!