Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Hahaha sawa komrediDaaah mie soka lilipitaga kushoto zamani sanaaa mazee
Asantee mkuuKaribu sana
hiyo avatar ya uyo toto umeipata wapi mbona kama mwanangu?
Naam!! Mpo salama salmin shaka ,hofu &wasiwasi ondoeni kabisatupo na dingi hakuna shida
Najiandaa kutoka sasa naelekea nifaland apa kagera kumekuchaKabisaaa
Eh hapana sihitaji hiyooKaribuu mkuu karibu get pass umechukua getin au
Yanungunungu mkuuKaribu joh, usipite hebu keti kidogo uonjeshwe supu ya nungunungu uone utamu wake

Uzur wa jukwaa hili ni la muda maalum late hrs na wenyeji hutoroka kabla ya roll call haijapitaNaam!! Mpo salama salmin shaka ,hofu &wasiwasi ondoeni kabisa
Tuko pamoja hapa mpaka kuchweeSiwezi kuwaangusha nipeni lindo 2
Nilimwokota sokoni, kipindi cha vita ya majimaji, saivi ana vilembwekeze 2000hiyo avatar ya uyo toto umeipata wapi mbona kama mwanangu?

Tuko pamoja
Ndio mkuu, hiyo ndio supu yetu pendwa ili kupambana na baridi Kali bila kusahau maini ya mamba.Yanungunungu mkuu![]()
![]()
Kazidiwa majukumu ya Jana ....alafu aliitwa na ivugaLeo Inna kajisahau wanaingia free

namtaka mwananguNilimwokota sokoni, kipindi cha vita ya majimaji, saivi ana vilembwekeze 2000![]()
Ohh ok shukrani.Ndio mkuu, hiyo ndio supu yetu pendwa ili kupambana na baridi Kali bila kusahau maini ya mamba.