Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,672
- 4,560
Walipata lapiliMatokeo ni yale yale au (3-1)
Walipata lapiliMatokeo ni yale yale au (3-1)
5G![]()
![]()
Kumbe kuna Bundi, mchana wako active namna hii![]()
Nilimwona alivyokua anamendea ile zawadi uliyomnunulia Inna, hujausika kumteka kweli komredi![]()
hapana,. Naamin yupo mikono salama Karibu mkuu, natumaini leo geti halitoachwa waziOooooh beautiful day ndo imeanzaaaaa......
Heshima kwenu nyoteeeeeee
Bila shaka utayafunga yote yatakayosahaulikaKaribu mkuu, natumaini leo geti halitoachwa wazi
Na kweli, itabidi nikutafute unipe mbinu unayotumia manake mchana huwa sioni kabisa

Hehehe kumekua mchana sasa, ila sio mbaya tunakaribia kufika mchanaHabarin za mchana
![]()
hapana,. Naamin yupo mikono salama
Hata siwez thubutu kufanya hilo

haa dingi ndani ya jengoHehehe kumekua mchana sasa, ila sio mbaya tunakaribia kufika mchana
unakarbishwaNa kweli, itabidi nikutafute unipe mbinu unayotumia manake mchana huwa sioni kabisa![]()
Karibu sanaHebu na Mimi Leo nipite humu kabla mwaka kwishaaa
Hiyo shaka haitakuwepo kama ukinipa kampaniBila shaka utayafunga yote yatakayosahaulika

Dingi alali mpaka ahakikishe watotohaa dingi ndani ya jengo
hujalala?
wake wamelala!!Karibuu mkuu karibu get pass umechukua getin auHebu na Mimi Leo nipite humu kabla mwaka kwishaaa
Karibu joh, usipite hebu keti kidogo uonjeshwe supu ya nungunungu uone utamu wakeHebu na Mimi Leo nipite humu kabla mwaka kwishaaa
tupo na dingi hakuna shidaHiyo shaka haitakuwepo kama ukinipa kampani![]()
Ewaah nakuamini sana komrediGeti lazima liwe salama salmini ikiwa ni ijumaa ya mwisho ya mwaka ulinzi ni muhimu sanaaaa