Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,138
Unfortunately nimeamka tena kama jana!Sorry kwa kuchelewa ku-reply, nilipitiwa na usingizi..
Pole mkuu, najua ni changamoto katika utafutaji wa mkate wa kila siku, cha kushukuru ni kuwa umerudi salama ili kujipanga na mapambano ya kesho pamoja na kurekebisha pale panapohitajika.
Asante sana kwa kunijulia hali.
God bless you!!! 🙏🙏
Asante kwa baraka , asante sana.
Hata usijali kwa kuchelewa kujibu, kwanza kwanini umeaka muda huu isije kuwa kama jana!