JamiiForums Usiku wa manane
Asante sana.
Najitahidi na pia nilishahudhuria sana therapy centers, ndio maana naona kidogo nina imarika.
Nimefurahi, naamini huu mwaka hautamalizika kabla haujaimarika zaidi na zaidi, ila jitahidi usiache gafla inaweza kukuumiza, lakini weka nia na jitihada, lakini ukimtanguliza Mungu.
 
Ndio, Jumatatu yangu imeenda vyema kabisa.
Na nikarudi salama kibaruani
Na mpaka sasa naendelea vyema mkuu!!!
Sijui upande wako?
Asante sana, shukrani sana kwa Mungu, nami inekua njema japo si kwa ukamilifu sana.
I'm happy for you.
 
Asante sana, shukrani sana kwa Mungu, nami inekua njema japo si kwa ukamilifu sana.
I'm happy for you.
Sorry kwa kuchelewa ku-reply, nilipitiwa na usingizi..
Pole mkuu, najua ni changamoto katika utafutaji wa mkate wa kila siku, cha kushukuru ni kuwa umerudi salama ili kujipanga na mapambano ya kesho pamoja na kurekebisha pale panapohitajika.

Asante sana kwa kunijulia hali.
God bless you!!! 🙏🙏
 
Back
Top Bottom