Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,138
Haina sababu ya kuziogopa , madhara yake ni machache mno, tokea hio 96 naogopa radi hadi leo 25 sijawahikukutana na madhara yake ila kusikia tu.Radi hazizoeleki mwaya.
Mie na utu uzima huu tu ikipiga moja lazima nikimbilie ndani.
Radi si nzuri
Sure usiziogope.