JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

bdb8bf33defa794190ee12bee0bea851.jpg

Mvua iliyoko huku si haba
 
Na mwanga wa radi kijijini huko ulivyo kuwa unawaka uvunguni nako kulikua hakukaliki!
Ila radi zilinitesa sana utoto, sikujua kama ningekuja kuzizoea hivi🤣
Radi hazizoeleki mwaya.
Mie na utu uzima huu tu ikipiga moja lazima nikimbilie ndani.
Radi si nzuri
 
Radi hazizoeleki mwaya.
Mie na utu uzima huu tu ikipiga moja lazima nikimbilie ndani.
Radi si nzuri
Haina sababu ya kuziogopa , madhara yake ni machache mno, tokea hio 96 naogopa radi hadi leo 25 sijawahikukutana na madhara yake ila kusikia tu.
Sure usiziogope.
 
Haina sababu ya kuziogopa , madhara yake ni machache mno, tokea hio 96 naogopa radi hadi leo 25 sijawahikukutana na madhara yake ila kusikia tu.
Sure usiziogope.
Ohhhh, basi sawa.
Ngoja nikabiliane nazo tu.

Hv huna usingizi kweli?
Tisa na robo usiku hii..
 
Back
Top Bottom