Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Wala sio mawenge kiongozi hata saa yangu iaonesha kuwa ni saa 2:26 am (am =asubuhi)Mie naona kama ndio jua linatoka au mawenge tu
Wala sio mawenge kiongozi hata saa yangu iaonesha kuwa ni saa 2:26 am (am =asubuhi)Mie naona kama ndio jua linatoka au mawenge tu
Ohoooh, unaongea na mimi au unaongea na simu, hili jambo sio la kuongea hapa ngoja nije siriniHuyo sio,anavizia kuvunja nyumba ya watu aibe balime...![]()
![]()
Tena umenikumbusha kesho natakiwa kwenda BIKO kuchukua mshiko nimetangazwa mshindi leo

Kwani balimi inaliwa si inanywewa? Usipotoshe umma kwa kubadili misemo ya kihenga

HujakoseaaMie naona kama ndio jua linatoka au mawenge tu
LikewiseMarry Christmas Jf members
Thanks and you tooMarry Christmas Jf members
Dah ni hatari sanaHujakoseaa
Huyo sio,anavizia kuvunja nyumba ya watu aibe balime...![]()
![]()
Tena umenikumbusha kesho natakiwa kwenda BIKO kuchukua mshiko nimetangazwa mshindi leo

![]()
![]()
wahenga ni kama maji,usipoyanywa utayaoga tu.

Lakin salamaaDah ni hatari sana
Naongea na wewe mbona MwanaFA alishajibu hilo.Ohoooh, unaongea na mimi au unaongea na simu, hili jambo sio la kuongea hapa ngoja nije sirini![]()
Halafu pia usisahau nimefungua kanisa na tunapokea mafungu ya kumi. Ujue kwenye fungu la kumi kuna Baraka tele![]()
"Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi na akosae kwa vitu ivyo hana hekima"Wee ondoka tu,nikizipata nisikuone unarudi![]()
Ndio maana unashinda kwanye mapipa ya mbege, kisa unaogopa kutumia maji.![]()
![]()
Ungejua tokea nizaliwe sijawahi kutumia maji kabisa![]()

Aisee, basi nimejitolea kuwa ulinzi shirikishi wako kuanzia sasaNaongea na wewe mbona MwanaFA alishajibu hilo.
Hongera sana kwa kufungua kanisa.
Fungu la kumi kwangu ndio mahali pake,ndio maana kila nikienda kanisani napeleka sh.kumi kumi

Binafsi nimeshaacha mishe kabisa, maana hata nikizifanya haziniingizii chochote naona najichosha bureMishe mishe vip lakin

Ndio maana unashinda kwanye mapipa ya mbege, kisa unaogopa kutumia maji.![]()
![]()
![]()

Hiyo ni lugha gani aiser