Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,386
- 95,820
Mpo wakuu
Mpo wakuu
Ulipoo mgongee mangiii chukua kinywajiiii tutalipaaRudi bhana, uliza kwanza huo msaada wenye mashiko ni upi, utajikuta unakata simu za BIKO bure ukizani ni kastama kea wanakwambia uchague ringtoni[emoji40] [emoji125]
Dadeki, kwani huo msemo nao ni wa wahenga, basi huyu inawezekana aliutunga kabla hajapekecha moto[emoji40] [emoji125]Nafurahi kuona unaanza kuwakubali hawa wahenga wetu weusi
Ninakeshea huku Maputo mji mkuu wa Nigeria karibu na Misri[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naanza kupata mashaka na location ya mkesha, kwa ninavyokufahamu hii itakua balimi ya 10 ndo inaongea[emoji6]
Kidogo wala na nduguyoBasi kila mmoja atakunywa atakachopata baada ya kuvunja
Kama kawaidaaMpo wakuu
Na kwako pia komredi.Usiku mwema wadau. Niwatakie siku njema na sikukuu njema
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Asiyefanya kazi na asile njoo twende tukavunje wote
Huyo sio,anavizia kuvunja nyumba ya watu aibe balime...[emoji4] [emoji4] [emoji4] Tena umenikumbusha kesho natakiwa kwenda BIKO kuchukua mshiko nimetangazwa mshindi leoRudi bhana, uliza kwanza huo msaada wenye mashiko ni upi, utajikuta unakata simu za BIKO bure ukizani ni kastama kea wanakwambia uchague ringtoni[emoji40] [emoji125]
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Ulipoo mgongee mangiii chukua kinywajiiii tutalipaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wahenga ni kama maji,usipoyanywa utayaoga tu.Dadeki, kwani huo msemo nao ni wa wahenga, basi huyu inawezekana aliutunga kabla hajapekecha moto[emoji40] [emoji125]
Kwani balimi inaliwa si inanywewa? Usipotoshe umma kwa kubadili misemo ya kihengaKidogo wala na nduguyo
Mmmh, nikutakie mkesha mwema, mimi ngoja nipumzishe bawaba zangu naona zimekua nzito[emoji42] [emoji42] [emoji125]Ninakeshea huku Maputo mji mkuu wa Nigeria karibu na Misri
Wee ondoka tu,nikizipata nisikuone unarudi [emoji12][emoji15] [emoji15] [emoji15]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] msalimie mama Manka! [emoji40]Mmmh, nikutakie mkesha mwema, mimi ngoja nipumzishe bawaba zangu naona zimekua nzito[emoji42] [emoji42] [emoji125]
TupoWadau