Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,452
Mpo wakuu
Mpo wakuu
Ulipoo mgongee mangiii chukua kinywajiiii tutalipaaRudi bhana, uliza kwanza huo msaada wenye mashiko ni upi, utajikuta unakata simu za BIKO bure ukizani ni kastama kea wanakwambia uchague ringtoni![]()
![]()
Dadeki, kwani huo msemo nao ni wa wahenga, basi huyu inawezekana aliutunga kabla hajapekecha motoNafurahi kuona unaanza kuwakubali hawa wahenga wetu weusi

Ninakeshea huku Maputo mji mkuu wa Nigeria karibu na Misri![]()
![]()
![]()
Naanza kupata mashaka na location ya mkesha, kwa ninavyokufahamu hii itakua balimi ya 10 ndo inaongea![]()
Kidogo wala na nduguyoBasi kila mmoja atakunywa atakachopata baada ya kuvunja
Kama kawaidaaMpo wakuu
Na kwako pia komredi.Usiku mwema wadau. Niwatakie siku njema na sikukuu njema
Huyo sio,anavizia kuvunja nyumba ya watu aibe balime...Rudi bhana, uliza kwanza huo msaada wenye mashiko ni upi, utajikuta unakata simu za BIKO bure ukizani ni kastama kea wanakwambia uchague ringtoni![]()
![]()
Tena umenikumbusha kesho natakiwa kwenda BIKO kuchukua mshiko nimetangazwa mshindi leoDadeki, kwani huo msemo nao ni wa wahenga, basi huyu inawezekana aliutunga kabla hajapekecha moto![]()
![]()
wahenga ni kama maji,usipoyanywa utayaoga tu.Kwani balimi inaliwa si inanywewa? Usipotoshe umma kwa kubadili misemo ya kihengaKidogo wala na nduguyo
Mmmh, nikutakie mkesha mwema, mimi ngoja nipumzishe bawaba zangu naona zimekua nzitoNinakeshea huku Maputo mji mkuu wa Nigeria karibu na Misri

Wee ondoka tu,nikizipata nisikuone unarudi

Mmmh, nikutakie mkesha mwema, mimi ngoja nipumzishe bawaba zangu naona zimekua nzito![]()
![]()
![]()
msalimie mama Manka! 
TupoWadau