JamiiForums Usiku wa manane
ni tajir kwelii huwa anamkopesh shadow wangu pesa ya kulipia kodi kama akiishiwa.. ndio maan huwez kuona shadow akimpinga kwa lolote mpka mahusiaon yangu kayaweka kiganjani sina amani kabisaaa
Fake P salout kwako mkuu
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mwanzo nilikua nakuchukulia poa poa sana ila sasa sina budi kusema tajiri uishi miaka buku ..

Kesho mapema takua hapo ilazo mkuu by any means an 😂😂😂😂😂😂
 
Mukubwa huyo ni tajiri anamiliki mabasi 7 ya mkoani dar to Arusha mengine dar to Tanga
Hatukusamehi daima
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Wizo nikimuita hapa atawakera, nilimuita selfika akaanza kudangia mabwana wa watu live live mpk wa coca 🤣🤣🤣🤣
Coca naona zinaiva na wizo..
Na zinaiva kwa vile tuu anaona yule mtu ili uwe nae sawa wee obey tu ,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Alikuja hapa mara moja akachagua hali ya hewa akaondoka ,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanasema wizo ana mdomo mchafu sio wa kumwendea kichwa kichwa 😂😂😂
 
Coca naona zinaiva na wizo..
Na zinaiva kwa vile tuu anaona yule mtu ili uwe nae sawa wee obey tu ,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Alikuja hapa mara moja akachagua hali ya hewa akaondoka ,😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wanasema wizo ana mdomo mchafu sio wa kumwendea kichwa kichwa 😂😂😂
Mbona ni mpole sana yuleee
 
Back
Top Bottom