Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,907
- 82,173
😂Sio mimi ..hahahahahaha
😂Sio mimi ..hahahahahaha
Au takushukuru baadae.😂😂😂😂🙌Shuka uje unishukuru 😂
Tena ni ndugu kweli...nisamehe kipenz...ngoja nimsuse Shadow peke yake...nisamehe cute[emoji1431]
Mukubwa huyo ni tajiri anamiliki mabasi 7 ya mkoani dar to Arusha mengine dar to Tanga😂😂😂😂😂😂 Huyo fake wat wat ndo wanamuita tajiri humu....
Jaman vijana humu ndani hovyo sana ujue eeeeh 😂😂😂😂😂
Tupo pamoja mkuu..Karibu Mkuu
Sema huyu mkuda mda mwngn anachekesha dadeq😂 I HATE YOU
View attachment 2955855
Yule ajalipa Kodi tatizo lake 😂😁🤣Machozi yananitoka nikiitwa tajiri halafu kubwa la matajiri letu yupo kwenye block![]()
![]()
![]()
![]()
utaona kazi nitayofanyia hukuWeeee buti za kazi ufanyie kazi tena....😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Sawa ila usije tishia raia tuu
🤣🤣🤣 Hii imeenda cutewow[emoji8].. huy ndio dada angu ninae mfaham..... nitakusaidia kumsusia[emoji38] mpka akome
🤣🤣🤣🤣 Kumbe unajiachia huku?? Kuwa makini sio waoaji hao… nyumbani nitakufukuza kweli sipendi utoke na vibakaumefka mpka kwa mke ya kantri[emoji23][emoji23] naomb usimuite huyo ni dada angu akiyajua madhambi yangu ya huku nimekwishaaa,, nitafukuzwa nyumbani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😁😂🤣😁😁🤣🤣🤣🤣 Kumbe unajiachia huku?? Kuwa makini sio waoaji hao… nyumbani nitakufukuza kweli sipendi utoke na vibaka
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 Weeeeeh hilo ndo najua sasa aiseeeee..Mukubwa huyo ni tajiri anamiliki mabasi 7 ya mkoani dar to Arusha mengine dar to Tanga
🤣🤣🤣🤣 nimeona win anajiachia kweli!! Halafu nimeona mnamsema pacha wangu mabakuli na crew yako 😂😂😂
🤣🤣onhoo...tayari🥴🤣🤣🤣🤣 Kumbe unajiachia huku?? Kuwa makini sio waoaji hao… nyumbani nitakufukuza kweli sipendi utoke na vibaka
Mkanye huyo....😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 Kumbe unajiachia huku?? Kuwa makini sio waoaji hao… nyumbani nitakufukuza kweli sipendi utoke na vibaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo fake wat wat ndo wanamuita tajiri humu....
Jaman vijana humu ndani hovyo sana ujue eeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Humu watu na pesa zetu Mkuu ndio maana tupo humu atukosi bando Mkuu 😂😁 matajiri hatukosagi bando😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 Weeeeeh hilo ndo najua sasa aiseeeee..
Kumbe tupo na watu hatari humu..
Ngoja kesho nikaonane nae.
Fake P kesho itabidi nije tuu hata kama ni siku ya mapumziko ila tavaa yale mabuti tajiri 🙏🙏🙏🙏😂😂😂😂
Tajiri bana...😂😂utaona kazi nitayofanyia huku![]()
![]()
unavihurumia?![]()
Nkamu basi naondoka nisije kuchafua hali ya hewa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣onhoo...tayari🥴