JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

🤣🤣🤣na jeuri juu🥴
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
kwani alinaniliuu tayari?
 
🤣🤣🤣🤣 nimeona win anajiachia kweli!! Halafu nimeona mnamsema pacha wangu mabakuli na crew yako 😂😂😂
Hapana sio mie..
Ni yeye anakaa kwa kujificha ananisema mimi kwa wizo..
Kama unavyojua wizo nae hana dogo kanimwagia maneno hayo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
 
Lamomy soma hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Winnone bora ukwishe tuu wee sio wa kuniteta na antiel alaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

yani wew[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoj nimalizane na dada kwanza alf nitakurudia... hiv unawezaje kunichonganisha na anae nipa ugali[emoji35],,, muone kwanz[emoji1787][emoji1787]
 
ni tajir kwelii huwa anamkopesh shadow wangu pesa ya kulipia kodi kama akiishiwa.. ndio maan huwez kuona shadow akimpinga kwa lolote[emoji23][emoji23][emoji23] mpka mahusiaon yangu kayaweka kiganjani sina amani kabisaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Fake P salout kwako mkuu
🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mwanzo nilikua nakuchukulia poa poa sana ila sasa sina budi kusema tajiri uishi miaka buku ..

Kesho mapema takua hapo ilazo mkuu by any means an 😂😂😂😂😂😂
 
Fake P salout kwako mkuu
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mwanzo nilikua nakuchukulia poa poa sana ila sasa sina budi kusema tajiri uishi miaka buku ..

Kesho mapema takua hapo ilazo mkuu by any means an [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

usisahau na zile buti alizo kwambia labda anataka akubadilishie hizo zimechoka[emoji23][emoji23][emoji23] hu know[emoji41]
 
Back
Top Bottom