Winnone
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 1,521
- 4,145
Hapana naona anakupa na ushauri wa kuja kuniambia mm kweli...
Una msapoti wizo wizo
lazima nimsapoti
hiv unahisi nikiwa against yeye alf aanze kuniporomoshea maneno na ule mdomo wake mchafu nitaficha wapi sura yangu



,, siwez kumsaliti huyo ant yako




