JamiiForums Usiku wa manane
Kaka angu Dr am 4 real PhD una endeleaje??.
👉Ubize kidogo, ndo Mana hatu onani
Yes, najua ndugu yangu mapambanoo lazima yaendelee 😊

Brother Ako nimechoka kua kitandani 24/7
Mguu wa kulia ulikua umeshituka now upo fit kabisa..

Mguu wangu wa kushoto ulio vunjika napambana nao madaktari walinambia niulee kama yai kwenye hizi week za mwanzoni so nakua kitandani muda woteeeee

Siwezi ku move popote hata kujisogeza inabidi ubebwa mguu uamishwe sikuwai jua kama one day ntakuja kupata ajari itakayo niweka hivi kitandani..

All in all,
Hiki kipindi nimetafakali sana maisha na kuanza kuya angalia in different angles

MUNGU akubariki umekua faraja na mtu wa kunijulia Khali several times Stay blessed brother
 
Back
Top Bottom