Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,355
- 96,646
I mean no malice to nobodyUnataka kusema anammendea Madame B au?
I mean no malice to nobodyUnataka kusema anammendea Madame B au?
Ulishapita humu Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leoNipe deal nyingine Mimi jobless
Nipo hapo nipo nipo hapa miyeyusho00:11 I mean no malice to nobody.
👉Ile 2022 - 2023 mpk nili izwa ka ni mchawi😆😀.
Siku hizi walinzi wenzagu wame staafu, kina Bantu Lady, Dahan, stow away, Poor Brain, Mwachiluwi, mshamba_hachekwi, National Anthem, Mzee wa kupambania, trudie
Huko bila 5 million siwezi gusa😀
Miyeyusho ulinde bwege wee😀Nipo hapo nipo nipo hapa miyeyusho
Ukikosa kabisa hapo itabidi tuone inakuaje Jukwaa la Ajira na TendaHuko bila 5 million siwezi gusa😀
Niki kwambia shule sija wahi enda uta amini??Ukikosa kabisa hapo itabidi tuone inakuaje Jukwaa la Ajira na Tenda
Mpaka kunakucha nipo hapa huku mbu wengi wamehamia mtaa wa pili kwa hio ni kaupepo tu hapaMiyeyusho ulinde bwege wee😀
Ulipoteza vyeti?Niki kwambia shule sija wahi enda uta amini??
Jeiefuu nasikia wote wana PhD kwako imekuaje tena?Niki kwambia shule sija wahi enda uta amini??
Yes, najua ndugu yangu mapambanoo lazima yaendelee 😊Kaka angu Dr am 4 real PhD una endeleaje??.
👉Ubize kidogo, ndo Mana hatu onani
0032HrsNi kweli mkuu kwenye Lindo hujawahi pelea
Depal siku hizi ana sinzia kama paka wangu![]()