JamiiForums Usiku wa manane
Ikoje ikoje?
Movie kabla sijaangalia huwa nasoma maudhui yake..

Shetani alikaa zake kuzimu akaona yupo bored akaamua aje dunia... Alipatwa na msala akasolve akawa anasaidiana na police kama consultant....


Sema icheki nimekumbuka kuna mdau alikuwa anafuatilia yule hajawai fuatilia movie kama ni mbovu


Ngoja nikitulia niishushe nikupe support ya kuangalia
 
Movie kabla sijaangalia huwa nasoma maudhui yake..

Shetani alikaa zake kuzimu akaona yupo bored akaamua aje dunia... Alipatwa na msala akasolve akawa anasaidiana na police kama consultant....


Sema icheki nimekumbuka kuna mdau alikuwa anafuatilia yule hajawai fuatilia movie kama ni mbovu


Ngoja nikitulia niishushe nikupe support ya kuangalia
🤣🤣🤣 kheee!! Na shetani kumbe anakuwaga bored!!!
 
Back
Top Bottom