JamiiForums Usiku wa manane
Tuombe wapendwa hata kwa sekunde:
ASANTE MTAKATIFU ULIYEKETI MAHALI PA JUU PALIPOINUKA,ASANTE JEHOVA MUUMBA MBINGU NA NCHI.....Tunakushukuru Mungu wetu kwa kila kitu umefanya na unaendelea kufanya kwa ajili yetu....tu nashukuru Bwana maana waturehemu na kutusamehe makosa yetu....endelea kutupigania maana peke yetu hatuwezi pasipo msaada wako Mungu wetu!
Asante kwa kutuamsha salama na kutulinda na Mabaya usiku wote.Tunaomba ukabariki kila kazi ya mja wako siku ya leo.KATIKA JINA LA YESU KRISTO MWANA WA MUNGU TUNAOMBA NA KUKUSHUKURU.AMINA
 
Tuombe wapendwa hata kwa sekunde:
ASANTE MTAKATIFU ULIYEKETI MAHALI PA JUU PALIPOINUKA,ASANTE JEHOVA MUUMBA MBINGU NA NCHI.....Tunakushukuru Mungu wetu kwa kila kitu umefanya na unaendelea kufanya kwa ajili yetu....tu nashukuru Bwana maana waturehemu na kutusamehe makosa yetu....endelea kutupigania maana peke yetu hatuwezi pasipo msaada wako Mungu wetu!
Asante kwa kutuamsha salama na kutulinda na Mabaya usiku wote.Tunaomba ukabariki kila kazi ya mja wako siku ya leo.KATIKA JINA LA YESU KRISTO MWANA WA MUNGU TUNAOMBA NA KUKUSHUKURU.AMINA
Amen
 
Mkubwa hivi niki danganya Napata kipi??, Yaani niji ite don.
Akati chini ni ombaomba!?

unajua Hawa wengine Wana kurupuka tu, so ana hisi alivyo ndo kila mtu Yuko hivyo.
SI wengine tunavyo ishi, ajuae ni mola tu
Hahahahaha..mimi kuamini mtu humu ngumu sana...ila pia km nilivyokuambia niliwahi dhamini vijana wenzangu walichonifanya Mungu anajua
 
Back
Top Bottom