Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,436
- 92,227
Tuombe wapendwa hata kwa sekunde:
ASANTE MTAKATIFU ULIYEKETI MAHALI PA JUU PALIPOINUKA,ASANTE JEHOVA MUUMBA MBINGU NA NCHI.....Tunakushukuru Mungu wetu kwa kila kitu umefanya na unaendelea kufanya kwa ajili yetu....tu nashukuru Bwana maana waturehemu na kutusamehe makosa yetu....endelea kutupigania maana peke yetu hatuwezi pasipo msaada wako Mungu wetu!
Asante kwa kutuamsha salama na kutulinda na Mabaya usiku wote.Tunaomba ukabariki kila kazi ya mja wako siku ya leo.KATIKA JINA LA YESU KRISTO MWANA WA MUNGU TUNAOMBA NA KUKUSHUKURU.AMINA
ASANTE MTAKATIFU ULIYEKETI MAHALI PA JUU PALIPOINUKA,ASANTE JEHOVA MUUMBA MBINGU NA NCHI.....Tunakushukuru Mungu wetu kwa kila kitu umefanya na unaendelea kufanya kwa ajili yetu....tu nashukuru Bwana maana waturehemu na kutusamehe makosa yetu....endelea kutupigania maana peke yetu hatuwezi pasipo msaada wako Mungu wetu!
Asante kwa kutuamsha salama na kutulinda na Mabaya usiku wote.Tunaomba ukabariki kila kazi ya mja wako siku ya leo.KATIKA JINA LA YESU KRISTO MWANA WA MUNGU TUNAOMBA NA KUKUSHUKURU.AMINA