Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,395
- 96,704
04:45 I mean no malice to nobody
Muongo huyo anamishe zake poa tu .....usimuamini Intelligent businessmanMkuu mie pia mpambanaji ...sijawahi kushikwa mkono..napenya mwenyewe kwa mbinu zangu...we pambana tu mkuu
Wee,acha usumbufu bhana😒Kuna kauli Ina sema, kwa kila aliye pita pango la Simba, je na wengine ni lazima wapite huko ikiwa Hakuna ulazima!!
Nijaribu mkuu, kijana Sina makuu Tresor Mandala
Ni jalala kwa sababu tupo duniani....mbinguni huenda mambo ni poaa🤓04:43 ama kweli ukubwa ni jalala la Aina yake.
Mi nimekuwa mvuvi kweli yaanTupo macho tunakula kitabu
Nani muongo ?Muongo huyo anamishe zake poa tu .....usimuamini Intelligent businessman
AmenTuombe wapendwa hata kwa sekunde:
ASANTE MTAKATIFU ULIYEKETI MAHALI PA JUU PALIPOINUKA,ASANTE JEHOVA MUUMBA MBINGU NA NCHI.....Tunakushukuru Mungu wetu kwa kila kitu umefanya na unaendelea kufanya kwa ajili yetu....tu nashukuru Bwana maana waturehemu na kutusamehe makosa yetu....endelea kutupigania maana peke yetu hatuwezi pasipo msaada wako Mungu wetu!
Asante kwa kutuamsha salama na kutulinda na Mabaya usiku wote.Tunaomba ukabariki kila kazi ya mja wako siku ya leo.KATIKA JINA LA YESU KRISTO MWANA WA MUNGU TUNAOMBA NA KUKUSHUKURU.AMINA
AminaAmen
Intelligent....Yeye ni boss wa kampuni fulaniNani muongo ?
Hapo sawa ...ila najua humu JF karibu wote wakurugenzi..maboss na matajiri ndio maana sina hofu na mtu ..na nishangaaga mtu akinipiga mzinga 😄😄Intelligent....Yeye ni boss wa kampuni fulani
We ulisha paona mbinguni 😀?Ni jalala kwa sababu tupo duniani....mbinguni huenda mambo ni poaa🤓
Madam mbona Mna penda kukurupuka, sinaga utani wa namna hiyo mpaka niseme nimfate mtu.Muongo huyo anamishe zake poa tu .....usimuamini Intelligent businessman
Mkubwa tuki acha utani, Jambo nililo kuambia ni serious bhana.Hapo sawa ...ila najua humu JF karibu wote wakurugenzi..maboss na matajiri ndio maana sina hofu na mtu ..na nishangaaga mtu akinipiga mzinga 😄😄
Dah Leo ume yumba kweli, una wezaje kuja kunsemea mtu bhana???.Intelligent....Yeye ni boss wa kampuni fulani
Mkuu mimi jobless pro max tu, siko list hiyo.Hapo sawa ...ila najua humu JF karibu wote wakurugenzi..maboss na matajiri ndio maana sina hofu na mtu ..na nishangaaga mtu akinipiga mzinga 😄😄
Weee acha uongo..bhasi.....nyie mdio madon wenyewe humu , Hahahahahaha ,muhimu tupeane dealMkuu mimi jobless pro max tu, siko list hiyo.
Nifabyie mpango, nitoke mkubwa
Mkubwa hivi niki danganya Napata kipi??, Yaani niji ite don.Weee acha uongo..bhasi.....nyie mdio madon wenyewe humu , Hahahahahaha ,muhimu tupeane deal
Hahahahaha..mimi kuamini mtu humu ngumu sana...ila pia km nilivyokuambia niliwahi dhamini vijana wenzangu walichonifanya Mungu anajuaMkubwa hivi niki danganya Napata kipi??, Yaani niji ite don.
Akati chini ni ombaomba!?
unajua Hawa wengine Wana kurupuka tu, so ana hisi alivyo ndo kila mtu Yuko hivyo.
SI wengine tunavyo ishi, ajuae ni mola tu