Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,393
- 96,699
Nishike mkono mkubwa, nami nitokeHahahahaha
Nishike mkono mkubwa, nami nitokeHahahahaha
Mkuu mie pia mpambanaji ...sijawahi kushikwa mkono..napenya mwenyewe kwa mbinu zangu...we pambana tu mkuuNishike mkono mkubwa, nami nitoke
Hahaha, hii kauli nilikuwa naimini.Mkuu mie pia mpambanaji ...sijawahi kushikwa mkono..napenya mwenyewe kwa mbinu zangu...we pambana tu mkuu
Kauli ipi ? Mie nahofia kumpa mtu line anaeza kukuambia mie sio pigo zangu nikawa nimepoteza muda tuHahaha, hii kauli nilikuwa naimini.
👉Mpaka siku yaliyo nikuta, baadae mkuu nisije fukuzwa kwenye tonge la ugali
Barikiwa sana kijanaNiko poa rafiki
Kuna kauli Ina sema, kwa kila aliye pita pango la Simba, je na wengine ni lazima wapite huko ikiwa Hakuna ulazima!!Kauli ipi ? Mie nahofia kumpa mtu line anaeza kukuambia mie sio pigo zangu nikawa nimepoteza muda tu
Mkuu 🤣😁00:04 Leo siko vizuri kabisa, naona juu chini- Baadae jamani
Vipi??Mkuu 🤣😁
Harakati zinasemaje kakaVipi??
Mi jobless tu Ndugu yangu, hapa leo nime yatimbaHarakati zinasemaje kaka
😂🤣😁😁Kaka Nuzulati kakuacha auMi jobless tu Ndugu yangu, hapa leo nime yatimba