JamiiForums Usiku wa manane
Hahahahaha..mimi kuamini mtu humu ngumu sana...ila pia km nilivyokuambia niliwahi dhamini vijana wenzangu walichonifanya Mungu anajua
Mkubwa legeza Moyo kijana nione mwanga.
We hata Kama deal la kuosha maiti, mi napita nalo.

Sikatai vijana muda mwingine tuna upuuzi, ila nija ribu mkubwa🙏
 
Hapo sawa ...ila najua humu JF karibu wote wakurugenzi..maboss na matajiri ndio maana sina hofu na mtu ..na nishangaaga mtu akinipiga mzinga 😄😄
Ni vizuri ukasimamia msimamo wako mkuu....mtu hawezi kukuua usipompa.
 
Dah Leo ume yumba kweli, una wezaje kuja kunsemea mtu bhana???.
Una pata wapi ujasiri huo??

Sema siku hizi nime pevuka kiakili, ila next time usicho kifahamu kheri utulie
😶 huna haja ya kuonekana umepuvuka mkuu,we jiachie..,.mi ni mtaalamu wa kupokea negative na positive tena negative from you nimepokea nyingi mno....sema nini....KUVUMILIANA
 
😶 huna haja ya kuonekana umepuvuka mkuu,we jiachie..,.mi ni mtaalamu wa kupokea negative na positive tena negative from you nimepokea nyingi mno....sema nini....KUVUMILIANA
Yaani Ume Nishangaza Sana, na it seems huenda uli Panga labda tuvurugane!??.
Maana mkwa ujumbe wako hapo juu, ina onesha Kuna tatizo!!

Sasa una anzaje kuni semea Jambo, akati huli fahamu kiundani??
Au ndo being obsessed na taaluma ya kusemea watu??
 
Yaani Ume Nishangaza Sana, na it seems huenda uli Panga labda tuvurugane!??.
Maana mkwa ujumbe wako hapo juu, ina onesha Kuna tatizo!!

Sasa una anzaje kuni semea Jambo, akati huli fahamu kiundani??
Au ndo being obsessed na taaluma ya kusemea watu??
😶
 
Back
Top Bottom