Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,408
- 102,438
Yaani Ume Nishangaza Sana, na it seems huenda uli Panga labda tuvurugane!??.😶 huna haja ya kuonekana umepuvuka mkuu,we jiachie..,.mi ni mtaalamu wa kupokea negative na positive tena negative from you nimepokea nyingi mno....sema nini....KUVUMILIANA
Maana mkwa ujumbe wako hapo juu, ina onesha Kuna tatizo!!
Sasa una anzaje kuni semea Jambo, akati huli fahamu kiundani??
Au ndo being obsessed na taaluma ya kusemea watu??