JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.

Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Bora wewe umekumbuka kusali,wengine wanawaza Kufanya Ujinga tu.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
00:53
And Il I'm trying to achieve
Yeah

Remember when I said they no believe in me no more?
I was sleeping on the ground, on the cold floor
Whole time I was grindin', I've been tryin' to achieve
Working night and day, you know my people no dey sleep
I got a small mattress and one sheet
Now my life is a live hustling show, no rehearsal.
FB_IMG_17086274128985138.jpg
 
Back
Top Bottom