Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
0057Hrs
22 February 2024
22 February 2024
ndo nini sasa


Jamani we dada ndo kila siku🤣🙄Walah tanesco mnakatwa na majini ya yangando nini sasa
![]()




Walah tanesco mnakatwa na majini ya yangando nini sasa
![]()
01:41 ni kweli Sija oga, ila kuoga nisipo oga Kuna nini?!
kwanza nalala mwenyewe, yaani Jana nioge, na leo mh???
Nisipo oga sidaiwi na mtu
Hahaa siku hizi ikifika saa 12 jioni nasikia usingizi balaa😀😀financial services ume torokea wapi??
Itakuwa una kula Sana😆🙄Hahaa siku hizi ikifika saa 12 jioni nasikia usingizi balaa😀😀
Huyo mkeo angekuwa wa kwangu,aisee ningekuwa namla kitumbua hadi aombe poo.Hivi hiki Ni Nini.
Wiki ya pili hii Sina nyege kabisa, mke analala bila chupi lakini akili yangu hainipeleki huko. Niko macho tangu saa Saba, Sina usingizi Sina hamu ya tendo. Au ndio nimerogwa?
Bora wewe umekumbuka kusali,wengine wanawaza Kufanya Ujinga tu.Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Hizi story acha, Eti mlo 1- au ndo super menu🤣😆Haha nikikuambia nakula mlo 1 utaamini? Nakula mchana tu jioni ni matunda au ndiyo sababu nalala mapema?