Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557
Wanasema 7 Days Bila Kulala Inabidi Upumzike Mazima Watu Waimbe Parapanda
01:19 siku ya 5 bila ya kulala usingizi
01:19 siku ya 5 bila ya kulala usingizi
Hizo ni theory tu, Nisha kaa zaidi wiki 2 non stopWanasema 7 Days Bila Kulala Inabidi Upumzike Mazima Watu Waimbe Parapanda
Dah leo wife kaanza night shift,baada ya dogo kufikisha miezi 9. Yaan dogo analia mnoo,mpaka sasa hajalala.



Ahsante mkuu.dada wa kazi yupo,ila nimeona nilale naye tu mimi.Pole Sana Mkuu Atazoea Ila Mtafutie Mama Wa Kumsaidia Kazi Kidogo Hapo Nyumbani
Yeah,nipo kwa gari sasa to job.Umeamkaje jomba?05:26 Muda wa kuamka kwenda kupambania Malengo.
To yeye, Mjep, raraa reree, DR SANTOS, Tresor Mandala, MastaKiraka Ume kimbia lindo??
Hahahahaha..sio kila muda ni wa kupambania malengo tu mkuu.05:26 Muda wa kuamka kwenda kupambania Malengo.
To yeye, Mjep, raraa reree, DR SANTOS, Tresor Mandala, MastaKiraka Ume kimbia lindo??
Hahahahaha05;27 Jobless vibe
Niko poa rafikiYeah,nipo kwa gari sasa to job.Umeamkaje jomba?