Safi sanaSiku niki taka kumu oa financial services, Nita mleta um groom😀😀.
👉 Maana ana lala mnoo, so tusije ibiwa🤣🤣
Shida financial services ana lala siku nzima, kwao wame mchapa sana.Safi sana
Pole sana; utapata mwingine atakaeziba hilo gap.Sio ukubwa wake tu...pia nikimtazama ananipa faraja as if baba yake niko karibu nae kimwili na kiroho.
Nilimpenda sana....R.I.P
Umeona eeeKuwahi kuwa na mtoto kuna faida yake, mnakuwa mnashauriana kama mtu na mdogo wake; changamoto huwa ni pale mwanzo tu katika kumleta duniani na kumpa mahitaji ya msingi.
Hatari sanaShida financial services ana lala siku nzima, kwao wame mchapa sana.
👉Maana kaunguza maharage zaidi ya kilo 100🤣🤣
ha ha ha, kwa sasa hutakiwi tena kuzaaUmeona eee
Na hapo walikuwa pacha, mmoja akafariki.
Can you imagine wangekuwepo wote, eti nami sahv ningekuwa nasuluhisha kesi za wanawake wake....🤦
Leo ndo mwisho was shadaaa, bwege wee🤒😀
Niko nae....Pole sana; utapata mwingine atakaeziba hilo gap.
Nazaa....napenda watotoha ha ha, kwa sasa hutakiwi tena kuzaa
Nyie majaa was morogoro ni makenge kweli🤣🤣😀anipa rahaaaaa
moyo upo kwa mabanoo
Ni kweli, kwa sababu akili itakuwa inajaribu kumlinganisha aliyepo sasa na aliyetangulia; kutokana na mapungufu yanayojitokeza, lazima ukumbuke aliyetangulia.Niko nae....
Ila awali ni awali tu...😋
watu wa morogoro akina nani😂😂Nyie majaa was morogoro ni makenge kweli🤣🤣😀
Kama hali ya mwili itaruhusu sawa; kwa sababu najaribu kufikiria utakuwa kwenye 40+Nazaa....napenda watoto
😂😂hili songi sio powa mkuu hili unaliskiliza ukishapga paff kadhaa ata kama wadaiwa kodi huogopiiLeo ndo mwisho was shadaaa, bwege wee🤒😀
View attachment 2898273
Uwiii...hata 35 sijafikisha.Kama hali ya mwili itaruhusu sawa; kwa sababu najaribu kufikiria utakuwa kwenye 40+
Hiyo not afraid ni kisanga😀🤣, Nisha wahi I rhyme mbele ya polisi 😀🤣😂😂hili songi sio powa mkuu hili unaliskiliza ukishapga paff kadhaa ata kama wadaiwa kodi huogopii
We mdada acha kutu piga majungu😀🤣Uwiii...hata 35 sijafikisha.
Na sio leo wala kesho...
Kwanini?We mdada acha kutu piga majungu😀🤣