JamiiForums Usiku wa manane
Kuwahi kuwa na mtoto kuna faida yake, mnakuwa mnashauriana kama mtu na mdogo wake; changamoto huwa ni pale mwanzo tu katika kumleta duniani na kumpa mahitaji ya msingi.
Umeona eee
Na hapo walikuwa pacha, mmoja akafariki.
Can you imagine wangekuwepo wote, eti nami sahv ningekuwa nasuluhisha kesi za wanawake wao...🤦
 
Leo ndo mwisho was shadaaa, bwege wee🤒😀
Screenshot_20240103-152813_1.jpg
 
Back
Top Bottom