JamiiForums Usiku wa manane
D6A0FFA7-DB62-45DE-ACB0-813779551865.jpeg
 
Niwachekeshe sasa.
Wafanyakazi wenzake na mwanangu wakija nyumbani kumtembelea mwanangu huwa wakinikuta mimi niko nae wanadhani mimi ni mkewe...kumbe ni mama yake.
Kuwahi kuwa na mtoto kuna faida yake, mnakuwa mnashauriana kama mtu na mdogo wake; changamoto huwa ni pale mwanzo tu katika kumleta duniani na kumpa mahitaji ya msingi.
 
Back
Top Bottom