fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,497
- 27,761
ameniweza shemeji yenu wakuuZimeenda wapi?
ameniweza shemeji yenu wakuuZimeenda wapi?
Usha Anza taarabu, hamna mla shada wa hivyo 🤒mie salama na mzima sina hata usemi aaah daaaah
...wewe umeshaota meno.Mkuu si uni chukie Mimi, niwe mwanao😀
😂😂 sielewii kaka niko high ile mbayaUsha Anza taarabu, hamna mla shada wa hivyo 🤒
Amemaliza wino wote 😀 😀 ; shika rungu uingie lindoameniweza shemeji yenu wakuu
Njia ikiwa ndogo, operation inahusikaNjia ilikuwa ndogo pia
Sio mbaya nadhani kwa sasa unajivunia kuwa na kijana mkubwaNjia ikiwa ndogo, operation inahusika
kaka kanichtisha hapaa weeeeh sas kapatwa usngzi apa nko lindo napgwa na umbu/wumbu🤣😂🤣 kila nkimpgia hapokeiAmemaliza wino wote 😀 😀 ; shika rungu uingie lindo
Jamani uta ninunulia ng'ombe...wewe umeshaota meno.
Utaning'ata chuchu zangu...
Miaka 15? Ulikua bado mdogo
Niwachekeshe sasa.Njia ilikuwa ndogo pia
Mpunguzie majukumu, ili awe na kazi moja tukaka kanichtisha hapaa weeeeh sas kapatwa usngzi apa nko lindo napgwa na umbu/wumbu🤣😂🤣 kila nkimpgia hapokei
Siku uzii shada tena, uli paswa uimbe nobody can Stop regards🤒😀umenishika kwa mtimaaa
pumzi sihemi aaah daaah!!!
penzi si made in china halinaga utemi aah daah
Sio ukubwa wake tu...pia nikimtazama ananipa faraja as if baba yake niko karibu nae kimwili na kiroho.Sio mbaya nadhani kwa sasa unajivunia kuwa na kijana mkubwa
sio regards ni reggae mkuu 😂😂Siku uzii shada tena, uli paswa uimbe nobody can Stop regards🤒😀
sas nimpunguzie majukumu gani mkuu aya aya yanamtosha mkuuMpunguzie majukumu, ili awe na kazi moja tu
🥺🥺🥺🥺Jamani uta ninunulia ng'ombe
Kuwahi kuwa na mtoto kuna faida yake, mnakuwa mnashauriana kama mtu na mdogo wake; changamoto huwa ni pale mwanzo tu katika kumleta duniani na kumpa mahitaji ya msingi.Niwachekeshe sasa.
Wafanyakazi wenzake na mwanangu wakija nyumbani kumtembelea mwanangu huwa wakinikuta mimi niko nae wanadhani mimi ni mkewe...kumbe ni mama yake.
Siku niki taka kumu oa financial services, Nita mleta um groom😀😀.🥺🥺🥺🥺