Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,976
Aisee!Ninae mtoto Ila kuna jambo nililifanya....sidhani.....😔
Mungu anafanya mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya! Kuwa na Imani tu mambo yatakuwa sawa.
Aisee!Ninae mtoto Ila kuna jambo nililifanya....sidhani.....😔
Jamaniiiii.....Imani imeletwa ili kutujengea hofu, na tuishi kwa utulivu katika maisha ya hapa duniani; inaaminika zamani kabla ya kuwepo dini duniani, kulikuwa na ukatili mkubwa wa kimauaji
Utakuwa ni mmoja wa wanaonufaika na sadaka zetu; hii mistari unaitolea wapi?Soma hapa pia
Mit 6:9-11 SUV
Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaondoka lini katika usingizi wako? Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, Bado kukunja mikono upate usingizi! Hivyo umaskini wako huja kama mnyang’anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.
Bado umri wa malezi ya mtoto hauruhusuAnamaliza chuo mwaka huu
Ulijuaje... niko Titanic hapa na Saki Star bandNi kweli mkuu hapo na bendi ikitumbuiza kwa mbaliii mambo yanakua mazuri
Inawezekana hofu yake ni kuwa, atamlisha nini huyo kiumbeYaani Nipo nae hapa, namuangalia nashindwa kummaliza aisee
Hapana mkuuUtakuwa ni mmoja wa wanaonufaika na sadaka zetu; hii mistari unaitolea wapi?
Sina cha kumshauri, ikiwa yeye anataka kutoaBado umri wa malezi ya mtoto hauruhusu
Ndo mambo ninayopendeleaUlijuaje... niko Titanic hapa na Saki Star band
🙏🙏🙏Aisee!
Mungu anafanya mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya! Kuwa na Imani tu mambo yatakuwa sawa.
Mshauri azae tu, wengine tunajuta kuchelewa kuwa na watotoAnamaliza chuo mwaka huu
KabisaaaaaNdo mambo ninayopendelea
Ananiambia anaogopa kuwa single momInawezekana hofu yake ni kuwa, atamlisha nini huyo kiumbe
Ukiwa na 45+ hawana hayo mambo zaidi ya kufurahia ligi tuWanaume wengine Vimeo tu.
Atakuuliza style zote hizo nimejifunzia wapi...
Mkuu huu ndo muda wa kutafuta sasaNashindwa hata la kusema....nahitaji sana mtoto
Nani kasema?Bado umri wa malezi ya mtoto hauruhusu
Nimeongea nae sana mkuuMshauri azae tu, wengine tunajuta kuchelewa kuwa na watoto
Nina mtoto kama wewe mkuu....Mkuu huu ndo muda wa kutafuta sasa
Kuna mmoja alitoa zangu saba, ni mke wa mtu; nilikuwa nikimsapoti kwa mahitaji madogo chuo.Hawaogopi kabisa aisee, tena hii ni ya nne😷