Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,924
- 61,699
Majuto ni mjukuu, atakuja awatafute hao watoto na hatowapataKuna mdada anataka atoe ujauzito wa nne sasa halafu ana miaka 22 tu😕. Hii dunia!
Majuto ni mjukuu, atakuja awatafute hao watoto na hatowapataKuna mdada anataka atoe ujauzito wa nne sasa halafu ana miaka 22 tu😕. Hii dunia!
Soma hapa piaha ha ha sasa kutokupenda usingizi unasaidiaje mtu kuwa tajiri?
Yaani Nipo nae hapa, namuangalia nashindwa kummaliza aisee🙆🙆🙆🙆🙆
Serious.... jamani mbona anajisababishia matatizo?
Azae tu.
Angekuwa karibu ningemwambia azae, halafu anipe mtoto.
Nahitaji sana mtoto....😔😔😔😔
Hv umegundua ukinywa ndio stimu zinapanda?Kinondoni tena? Kuna ile ngoma ya Dulla Makabila unatoa hutoi. Unaijua mkuu?
Inasikitisha sanaKuna mdada anataka atoe ujauzito wa nne sasa halafu ana miaka 22 tu😕. Hii dunia!
Lete tukitumie uongeze uzoefu, ili unapokuja kukutana na mtarajiwa unampatia sarakasi zote ulizojifunza mazoezini 😀 😀😩😩😩
Nakibanabana.....
Namtunzia mume mtarajiwa....
Shule alicha? Maana umri bado wa kusoma huoYaani Nipo nae hapa, namuangalia nashindwa kummaliza aisee
Yaani Nipo nae hapa, namuangalia nashindwa kummaliza aisee
Nashindwa hata la kusema....nahitaji sana mtotoYaani Nipo nae hapa, namuangalia nashindwa kummaliza aisee
Anamaliza chuo mwaka huuShule alicha? Maana umri bado wa kusoma huo
Aisee pole sana.Nashindwa hata la kusema....nahitaji sana mtoto
Wanaume wengine Vimeo tu.Lete tukitumie uongeze uzoefu, ili unapokuja kukutana na mtarajiwa unampatia sarakasi zote ulizojifunza mazoezini 😀 😀
Imani imeletwa ili kutujengea hofu, na tuishi kwa utulivu katika maisha ya hapa duniani; inaaminika zamani kabla ya kuwepo dini duniani, kulikuwa na ukatili mkubwa wa kimauajiNikiwaza hapo tu...nakosa hata nguvu za kunywa K-vant
Ninae mtoto Ila kuna jambo nililifanya....sidhani.....😔Aisee pole sana.
Mungu atakupa kwa wataki sahihi ila huyu Binti namuhurumia sana.
Hawaogopi kabisa aisee, tena hii ni ya nne😷Majuto ni mjukuu, atakuja awatafute hao watoto na hatowapata
Ni kweli mkuu hapo na bendi ikitumbuiza kwa mbaliii mambo yanakua mazuriHv umegundua ukinywa ndio stimu zinapanda?
Mie ninyweshe...afu nishike mkono....
Aisee!Ninae mtoto Ila kuna jambo nililifanya....sidhani.....😔
Jamaniiiii.....Imani imeletwa ili kutujengea hofu, na tuishi kwa utulivu katika maisha ya hapa duniani; inaaminika zamani kabla ya kuwepo dini duniani, kulikuwa na ukatili mkubwa wa kimauaji
Utakuwa ni mmoja wa wanaonufaika na sadaka zetu; hii mistari unaitolea wapi?Soma hapa pia
Mit 6:9-11 SUV
Ewe mvivu, utalala hata lini? Utaondoka lini katika usingizi wako? Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, Bado kukunja mikono upate usingizi! Hivyo umaskini wako huja kama mnyang’anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.
Bado umri wa malezi ya mtoto hauruhusuAnamaliza chuo mwaka huu
Ulijuaje... niko Titanic hapa na Saki Star bandNi kweli mkuu hapo na bendi ikitumbuiza kwa mbaliii mambo yanakua mazuri