AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,885
- 8,478
Sawa Mkuu ntakitafuta.Hahaha............Kuna Kitabu cha Dokta Ndodi kilikuwa kimeandikwa Turudi Edeni
Kitafute ukisome
Sawa Mkuu ntakitafuta.Hahaha............Kuna Kitabu cha Dokta Ndodi kilikuwa kimeandikwa Turudi Edeni
Kitafute ukisome
Ila hii dunia ya leo bana, yani mzee wa +60 yupo online mpaka muda huu thats naonaga wengi wanafanya kazi za ulinzi na nguvu hawana, Mzee lala bana😅Wishing you best of luck 🙏🙏
Mkuu unanifukuza hutaki nifurahie kuchitchat na Wajukuu humu 😜Ila hii dunia ya leo bana, yani mzee wa +60 yupo online mpaka muda huu thats naonaga wengi wanafanya kazi za ulinzi na nguvu hawana, Mzee lala bana😅
Kama unajiweza tukimbize tu me nakuonea huruma.Mkuu unanifukuza hutaki nifurahie kuchitchat na Wajukuu humu 😜
Ngoja nipumzike sasa 2:16
iPI hiyo😄, maziwa mgando ehh??Ninyi Vijana mnaokesha humu kwani mna tatizo la Kukosa Usingizi kama sisi Wazee wenu?😜
Tumieni ile dawa ya asili muwe mnapata Usingizi 🤗
00:55
02:51 greatTumebaki Wazee tu 😜
01:27
Hauangalii show ya davido 02 arena!?02:24
Ashaniambia ananipenda, nilale sasa.
Umeambiwa piga viwili kila siku kabla ya kulala usingiz utakufata wenyewe.iPI hiyo😄, maziwa mgando ehh??
😂😂🤣🤣🤣🤣Yaan mtu unamtumia na nauli mnakaa baaa bia za kitosha unatangulia room anatoroka
Ndoa ni kitu rahisi hivyo kumbe?03:28
Mdada aliyemacho sasa hivi tufunge ndoa