Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,844
- 57,504
Naona umeongea kitaalamu sana ....kwamba yeye ndiyo amebeba Usingizi wakoBabu mi mjukuu wako ukiniona hapa ujue namsubiri mkweo aje, akishafika tu huwezi kunikuta hapa tena.
Huwa anabeba usingizi wangu 😅
Ile dawa ya asili niliyoisema pale juu ndiyo hiyo sasa 😜🏃🏃🏃🏃