JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Naona umeongea kitaalamu sana ....kwamba yeye ndiyo amebeba Usingizi wako

Ile dawa ya asili niliyoisema pale juu ndiyo hiyo sasa 😜🏃🏃🏃🏃
Babu sio hiyoooo, haki!
Namsubiria hapa sio nyumbani, niombee ufike huo wakati wa kumsubiri nyumbani nikuletee wajukuu mapacha.
 
Babu sio hiyoooo, haki!
Namsubiria hapa sio nyumbani, niombee ufike huo wakati wa kumsubiri nyumbani nikuletee wajukuu mapacha.
Hahaha............sitaki kuamini Mjukuu, yaani mrudi mmeshikana mikono bila kushikana viuno?😜

Babu yako nasubiria Wajukuu tu 🤗
 
Back
Top Bottom