JamiiForums Usiku wa manane
Nilipokuwa Kijana sikuwa na tatizo la Kukosa Usingizi.

Ukifika kuanzia miaka 60 Usingizi unaanza kukosekana

Unaweza kushinda Macho hadi saa 7 ama 9 usiku ndiyo Usingizi unakuja.

Kama ni Mvutaji wa Sigara basi tatizo ndiyo linakuwa kubwa zaidi
Mzee unamaanisha hapo ulipo ni uzee ndo unakunyima usingiz?
Mimi ni kijana mdogo mali safi wanaita ila kulala kwangu mpaka nipigiwe gitaa nipitiwe na story angalau kuanzia saa 6 hivi na mara nyingi nikiwa peke yangu basi kulala ni alfajir,
Hii inanifanya niwe mchovu sana ila bado silali mchana.
 
Naona umeongea kitaalamu sana ....kwamba yeye ndiyo amebeba Usingizi wako

Ile dawa ya asili niliyoisema pale juu ndiyo hiyo sasa 😜🏃🏃🏃🏃
Babu sio hiyoooo, haki!
Namsubiria hapa sio nyumbani, niombee ufike huo wakati wa kumsubiri nyumbani nikuletee wajukuu mapacha.
 
Babu sio hiyoooo, haki!
Namsubiria hapa sio nyumbani, niombee ufike huo wakati wa kumsubiri nyumbani nikuletee wajukuu mapacha.
Hahaha............sitaki kuamini Mjukuu, yaani mrudi mmeshikana mikono bila kushikana viuno?😜

Babu yako nasubiria Wajukuu tu 🤗
 
Back
Top Bottom