Leo mpaka usiku usiku wa mananeTumebaki Wazee tu 😜
01:27
Hellow 00:50
Kama hauna usingizi basi tusafishe hiko kichwa 😀[emoji102]
Vizuri, lazima Lindo lilindwe 😅Leo mpaka usiku usiku wa manane
Ndiyo, hivi na nyie huwa mnapata hii shida ya kukosa usingiz ukilala peke yako kama panga?Vizuri, lazima Lindo lilindwe 😅
Kama hauna usingizi basi tusafishe hiko kichwa [emoji3]
Babu mi mjukuu wako ukiniona hapa ujue namsubiri mkweo aje, akishafika tu huwezi kunikuta hapa tena.Ninyi Vijana mnaokesha humu kwani mna tatizo la Kukosa Usingizi kama sisi Wazee wenu?😜
Tumieni ile dawa ya asili muwe mnapata Usingizi 🤗
00:55
Usinikimbie tu muda wa zawadi ukifika😀Haya Sasa Si Mapenzi Haya Ni Mahaba.
Tafadhari Naomba Uchague Zawadi Tutakapomaliza.
Nilipokuwa Kijana sikuwa na tatizo la Kukosa Usingizi.Ndiyo, hivi na nyie huwa mnapata hii shida ya kukosa usingiz ukilala peke yako kama panga?
Kama panga😀😀 haya bana mkuu sisi mapanga ngoja tuendelee😀Ndiyo, hivi na nyie huwa mnapata hii shida ya kukosa usingiz ukilala peke yako kama panga?
Naona umeongea kitaalamu sana ....kwamba yeye ndiyo amebeba Usingizi wakoBabu mi mjukuu wako ukiniona hapa ujue namsubiri mkweo aje, akishafika tu huwezi kunikuta hapa tena.
Huwa anabeba usingizi wangu 😅
Mzee unamaanisha hapo ulipo ni uzee ndo unakunyima usingiz?Nilipokuwa Kijana sikuwa na tatizo la Kukosa Usingizi.
Ukifika kuanzia miaka 60 Usingizi unaanza kukosekana
Unaweza kushinda Macho hadi saa 7 ama 9 usiku ndiyo Usingizi unakuja.
Kama ni Mvutaji wa Sigara basi tatizo ndiyo linakuwa kubwa zaidi
Ipi hiyo nami nitumieNaona umeongea kitaalamu sana ....kwamba yeye ndiyo amebeba Usingizi wako
Ile dawa ya asili niliyoisema pale juu ndiyo hiyo sasa 😜🏃🏃🏃🏃