JamiiForums Usiku wa manane
Ndiyo, hivi na nyie huwa mnapata hii shida ya kukosa usingiz ukilala peke yako kama panga?
Nilipokuwa Kijana sikuwa na tatizo la Kukosa Usingizi.

Ukifika kuanzia miaka 60 Usingizi unaanza kukosekana

Unaweza kushinda Macho hadi saa 7 ama 9 usiku ndiyo Usingizi unakuja.

Kama ni Mvutaji wa Sigara basi tatizo ndiyo linakuwa kubwa zaidi
 
Back
Top Bottom