JamiiForums Usiku wa manane
Siku hizi kunakucha mapema,, unaingia kulala hata hujamaliza kuota vizuri. Unaanza kusikia adhana nje, means alfajiri imefika.

05:33
 
Mkuu Kama uli kuwepo, nime pita sehemu kilicho nisaidia ni kufunga mdomo wangu.(wamme nipiga kikumbo)
👉Wame niangalia mnoo, nili tamani kusema kitu- ila Nika chill tu.
👉Wana sura chafu, kutokeza upande wa pili Jamaa ana vuja damu kwenye gari (maeneo ya store fulani hivi).

Nime ishia kuita msaada na kutokomea zangu, masuala ya ushahidi nawa achia viherehere.
👉Wasije kuwa na team yao ya kushughulika na macho kuona
Hahahaha.......pole Mkuu, hayo mambo ni mengi sana huko

Yanafanya sisi Wazee tuogope hata kuja kusalimia huko Kwa kuogopa kuuwa.

Ni jamii ya watu wasiotaka kubadirika pamoja na Elimu kubwa inayoendelea kutolewa na Serikali pamoja na Asasi za Kiraia

Na Bora ulivyokimbia eneo la tukio kukwepa ushahidi...wanasema Kunguru mwoga hukimbiza bawa lake
 
Hahahaha.......pole Mkuu, hayo mambo ni mengi sana huko

Yanafanya sisi Wazee tuogope hata kuja kusalimia huko Kwa kuogopa kuuwa.

Ni jamii ya watu wasiotaka kubadirika pamoja na Elimu kubwa inayoendelea kutolewa na Serikali pamoja na Asasi za Kiraia

Na Bora ulivyokimbia eneo la tukio kukwepa ushahidi...wanasema Kunguru mwoga hukimbiza bawa lake
Shukrani mkuu, nili hofia macho ya ziada.
👉Wasije ni safisha buree.
 
Back
Top Bottom