JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Sawa, Kuna kiongozi mmoja alinambia ana Lodge mitaa ya huko ndiyo anataka kuiuza, sijui kama ndiyo hiyo ama ni nyingine

All in all hii biashara ni nzuri japo inahitaji kutega eneo zuri pamoja na kuzingatia sana Usafi

Nadhani nitajielekeza zaidi huko miaka ijayo
Hii sio lodge ni nyumba kamili, Wana taka kuichukua ndo waigeuze iwe hivyo.
 
Shukrani Mkuu, nitakaribia

Ila tafadhali usije kuniitisha watu wakaniua Kwa haya macho mekundu ya Uzee na hizi Mvi zangu nyeupe....😜

Maana huko Kanda ya Ziwa sisi Wazee tunapigwa sana Vita
Mkuu Kama uli kuwepo, nime pita sehemu kilicho nisaidia ni kufunga mdomo wangu.(wamme nipiga kikumbo)
👉Wame niangalia mnoo, nili tamani kusema kitu- ila Nika chill tu.
👉Wana sura chafu, kutokeza upande wa pili Jamaa ana vuja damu kwenye gari (maeneo ya store fulani hivi).

Nime ishia kuita msaada na kutokomea zangu, masuala ya ushahidi nawa achia viherehere.
👉Wasije kuwa na team yao ya kushughulika na macho kuona
 
Back
Top Bottom