Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,337
- 96,610
00:32 I mean no malice to nobody
Endelea kuni juza, niko jela mkuu🤒Saa 12:41
Stars 0:0Congo DR
😁😂Watu mnapumua tu hewa chafu sisi tunaua soli nukta to nukta mkiamka mnaanza kututukana mkiaka kila naekutana nae akizingua na mapanzi tu ya kutoa wenge
Unataka kusema ilikuwa umefungiwa jela ya kujitakia?Endelea kuni juza, niko jela mkuu🤒
We mzee tuliaa, vipi ile nyumba ya wageni tayari😄.Unataka kusema ilikuwa umefungiwa jela ya kujitakia?
Usikute Binti yangu aliona unakosa muda wa kuwa naye ndiyo amejaribu kuutumia mbinu hiyo kukutuliza 😜🏃🏃🏃
Acha kutufokea Wazee, hatuchelewi kupandisha PB 😜We mzee tuliaa, vipi ile nyumba ya wageni tayari😄.
👉Nina kijana ana weza kuwa administrator 🤒
Safii🤗🤗🤗, waiting for the lovely newsAcha kutufokea Wazee, hatuchelewi kupandisha PB 😜
Nashukuru nilifanikiwa, japo umechelewa alishapatikana "Meneja"...
Nikifanikiwa kupata nafasi nitaandika Uzi ili wenye nia waweze kujifunza