JamiiForums Usiku wa manane
Watu mnapumua tu hewa chafu sisi tunaua soli nukta to nukta mkiamka mnaanza kututukana mkiamka kila naekutana nae akizingua na mabanzi tu ya kutoa wenge
 
We mzee tuliaa, vipi ile nyumba ya wageni tayari😄.
👉Nina kijana ana weza kuwa administrator 🤒
Acha kutufokea Wazee, hatuchelewi kupandisha PB 😜

Nashukuru nilifanikiwa, japo umechelewa alishapatikana "Meneja"...

Nikifanikiwa kupata nafasi nitaandika Uzi ili wenye nia waweze kujifunza
 
Back
Top Bottom