JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Watu mnapumua tu hewa chafu sisi tunaua soli nukta to nukta mkiamka mnaanza kututukana mkiamka kila naekutana nae akizingua na mabanzi tu ya kutoa wenge
 
We mzee tuliaa, vipi ile nyumba ya wageni tayari😄.
👉Nina kijana ana weza kuwa administrator 🤒
Acha kutufokea Wazee, hatuchelewi kupandisha PB 😜

Nashukuru nilifanikiwa, japo umechelewa alishapatikana "Meneja"...

Nikifanikiwa kupata nafasi nitaandika Uzi ili wenye nia waweze kujifunza
 
Acha kutufokea Wazee, hatuchelewi kupandisha PB 😜

Nashukuru nilifanikiwa, japo umechelewa alishapatikana "Meneja"...

Nikifanikiwa kupata nafasi nitaandika Uzi ili wenye nia waweze kujifunza
IPO moja maeneo ya style hiyi, na Pana fanya vizuri mnoo.
👉Last time wame offer 80m kupa chukua, though bado offer nzuri.
 
Kahama, jirani Kuna nyingine Kama 3-4. Bei zao ni 15-20 mchana tu Wame jaza tayari.
👉Last bid ilikuwa 80 naona wame refuse, nadhani 100m ndo Ina weza washitua wamiliki Grahams
Sawa, Kuna kiongozi mmoja alinambia ana Lodge mitaa ya huko ndiyo anataka kuiuza, sijui kama ndiyo hiyo ama ni nyingine

All in all hii biashara ni nzuri japo inahitaji kutega eneo zuri pamoja na kuzingatia sana Usafi

Nadhani nitajielekeza zaidi huko miaka ijayo
 
Back
Top Bottom