ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 16,787
- 61,260
Asali situmii hata hivyoMtego wa nini njoo tule asali wewe😂
Asali situmii hata hivyoMtego wa nini njoo tule asali wewe😂
Wanaume wa dar hata asali unaogopa...hakuna nyuki kwa asali😂😂Asali situmii hata hivyo
Mmeanza mapema, Best Wishes!!!12:00 AM
kesho test
asante bata mzingaMmeanza mapema, Best Wishes!!!
Mwezi wa baraka tele00:17
December is here! Thank you God!

Thank you kaka Chaz.. mwezi mpya ukawe wa baraka kwako na uwapendao.
Why boring month? Mchaga asiyependa kurudi kwao Dec 🤣🤣🤣3:47 AM
December, the most boring month🚮
kwa nyie wafanyakazi sawa,Why boring month? Mchaga asiyependa kurudi kwako Dec 🤣🤣🤣
Huu mwezi ni mzuri
Kwanza watu wana work half month
Kurefresh kwenye mapori kwa sanaaa
Haha Northzone unaisema? Mbona tu huo utaratibu ni mzuri? Wa kurudi kujumuika as a family. Ila wengine wangekuwa wanatukosa 😂kwa nyie wafanyakazi sawa,
ila usipokuwa na hela december ni ujinga tu, sikukuu zimeshapoteza maana zimefanywa sherehe, bora ramadhan
nasema christmas dunia nzima imekua commercialized, kununua nguo mpya, mazawadi, kutoka out.... hivyo vitu havina maanaHaha Northzone unaisema? Mbona tu huo utaratibu ni mzuri? Wa kurudi kujumuika as a family. Ila wengine wangekuwa wanatukosa 😂