Unateseka ukiwa wapi kamandaMkuu hujalala?
KwetuUnateseka ukiwa wapi kamanda
Ndio wapi huko?Kwetu
DaslaaamNdio wapi huko?
Aah kumbe wewe Mwanaume wa daslam?😂Daslaaam
Ndiyo mkuuAah kumbe wewe Mwanaume wa daslam?😂
Njoo nikufundishe kurina asali bila kuvaa chochote cha kujikinga, sisi huku Kaliua hata nyuki akiuma hatujali😂😂Ndiyo mkuu
Huo ni mtego naujuaNjoo nikufundishe kurina asali bila kuvaa chochote cha kujikinga, sisi huku Kaliua hata nyuki akiuma hatujali😂😂
Mtego wa nini njoo tule asali wewe😂Huo ni mtego naujua