Certified Hater
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,940
- 4,157
Wakuu kumbe hamchoki kabisa
Tupo tunakunywa bia hapa na woto wazuriWakuu kumbe hamchoki kabisa
Hahahahaa,hii ndio RAHA ya JF ,unamuwazia mutu vile we umewazaMimi ndio niliyesababisha apigwe ban kama hujui alikuwa ana fanya umbea mwingi mpaka ikawa shida ndio nikamreport na hiyo id yake nilishaijua kitambo sana mkuu.
Ni demu huyo shauri yako na ni mzuri kweli kweli
Kumbe maisha sio magumu kabisa. Kila kijiwe kimewaka. Mama anaupiga kwahiyoTupo tunakunywa bia hapa na woto wazuri
Ndiooooooooo kazi iendeleeKumbe maisha sio magumu kabisa. Kila kijiwe kimewaka. Mama anaupiga kwahiyo
Hiyi ni serious mkuu sio nadahariaHahahahaa,hii ndio RAHA ya JF ,unamuwazia mutu vile we umewaza
HahahahahaHiyi ni serious mkuu sio nadaharia
Hahahahahaha,dah , muwe mnatuonea huruma jamani ,khaaChale pesa hana mpk dereva auze mafuta kwenye roli ndio amfikirie kumpa hata buku 5, basi alivyo akili hana chap anakimbilia kununua bundle aje kupooza stress huku 🤣🤣🤣
Nilimkanda mpk ananifananisha na ankal Genta dadeq
Mmmh,Bila kuwa chawa nchi hii njia pekee iliyo baki ili upate mafanikio ni kuloga
Friends of samia 3:41