JamiiForums Usiku wa manane
Jeuri hiyo hana!!
Si unaona kilivyo kioga mpk kimeniblock
Sasa live si ntamvunja vunja 🤣🤣🤣🤣
Emu sister nitafutie mwingine wa kupigana naye sio huyo mtoto wa mama
Sema kama kakublock huo ni udhaifu ws hali ya juu unamchukiaje mtu usiyemjua?.

Mi siwezi mblock mtu maana najua hamna cha ziada zaidi ya vita ya maneno tu hawezi niumiza popote pale niki log out naendelea na mishe zangu.

Sasa kumblock mtu tena demu aah hapana asee
 
Sema kama kakublock huo ni udhaifu ws hali ya juu unamchukiaje mtu usiyemjua?.

Mi siwezi mblock mtu maana najua hamna cha ziada zaidi ya vita ya maneno tu hawezi niumiza popote pale niki log out naendelea na mishe zangu.

Sasa kumblock mtu tena demu aah hapana asee
Acha uhuni kaka wew umejuaje kuwa ni kipusa huyo ?? Huyo ni kama mimi na wew tu
 
Sema kama kakublock huo ni udhaifu ws hali ya juu unamchukiaje mtu usiyemjua?.

Mi siwezi mblock mtu maana najua hamna cha ziada zaidi ya vita ya maneno tu hawezi niumiza popote pale niki log out naendelea na mishe zangu.

Sasa kumblock mtu tena demu aah hapana asee
Huku hakuna option ya block kuna ignore list yaani hata aandike nini mie hata siioni kitu
 
Screenshot_20231029-020708.jpg

Njoeni tulewe
 
Back
Top Bottom