Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,377
- 80,234
你好
Kafia kawe01:55
Mwisho wa mchezo starring kafa
Hupendi kupigana kivipiii twende ukazichapeSipendi kupigana mie kwanza hata content yake siioni hapa
Jeuri hiyo hana!!Chale na lamomy mnapiga kelel tu hapa, ka vipi kutaneni basi mzichape 😁 nitakuwepo kushangilia
Hakuna kulala aaseee baki hapa hadi uruhusiwe 😁Muwe na usiku mwema nawapenda wote 😴😴😴😴
Basi namsaidia tukutane uzichape na mimi 😁Jeuri hiyo hana!!
Si unaona kilivyo kioga mpk kimeniblock
Sasa live si ntamvunja vunja 🤣🤣🤣🤣
Emu sister nitafutie mwingine wa kupigana naye sio huyo mtoto wa mama
Kesho bana uwepo wangu unamnyima raha chale 🤣🤣🤣Hakuna kulala aaseee baki hapa hadi uruhusiwe 😁
Labda wewe 🤣🤣🤣Basi namsaidia tukutane uzichape na mimi 😁
Ok niko tayari kumpiga mtu hadi atoe damu 🧐🧐Hey be a man 😡😡😡 utanikera namie refa
Sema kama kakublock huo ni udhaifu ws hali ya juu unamchukiaje mtu usiyemjua?.Jeuri hiyo hana!!
Si unaona kilivyo kioga mpk kimeniblock
Sasa live si ntamvunja vunja 🤣🤣🤣🤣
Emu sister nitafutie mwingine wa kupigana naye sio huyo mtoto wa mama
Acha uhuni kaka wew umejuaje kuwa ni kipusa huyo ?? Huyo ni kama mimi na wew tuSema kama kakublock huo ni udhaifu ws hali ya juu unamchukiaje mtu usiyemjua?.
Mi siwezi mblock mtu maana najua hamna cha ziada zaidi ya vita ya maneno tu hawezi niumiza popote pale niki log out naendelea na mishe zangu.
Sasa kumblock mtu tena demu aah hapana asee
Be a man kwa maana kwamba achana mzozo na mtoto wa kike, ntakufata huko mtaani kwako nikupige ohooooooOk niko tayari kumpiga mtu hadi atoe damu 🧐🧐
We sibishani na ww mkuu baki na mawazo yako.Acha uhuni kaka wew umejuaje kuwa ni kipusa huyo ?? Huyo ni kama mimi na wew tu
Huku hakuna option ya block kuna ignore list yaani hata aandike nini mie hata siioni kituSema kama kakublock huo ni udhaifu ws hali ya juu unamchukiaje mtu usiyemjua?.
Mi siwezi mblock mtu maana najua hamna cha ziada zaidi ya vita ya maneno tu hawezi niumiza popote pale niki log out naendelea na mishe zangu.
Sasa kumblock mtu tena demu aah hapana asee
Njoo kigamboni dada yanguBe a man kwa maana kwamba achana mzozo na mtoto wa kike, ntakufata huko mtaani kwako nikupige ohoooooo
HayaWe sibishani na ww mkuu baki na mawazo yako.
Nije nikupige??? 🤣🤣🤣🤣Njoo kigamboni dada yangu
Karibu ntakununulia na bia yoyote unayotakaNije nikupige??? 🤣🤣🤣🤣