Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,444
Acha uongo ktk hili ,unabugiKutuma pesa kutoka kinshasa hadi dar es salaam ni mbali sana🤣
Acha uongo ktk hili ,unabugiKutuma pesa kutoka kinshasa hadi dar es salaam ni mbali sana🤣
Jiulize kwa nini alipigwa banned 😂Una ushahidi maana ninavyojua ni Cute Wife huyo id yake imepigwa ban ndo anatumia hiyo lamomy
Lioneee 🤣🤣🤣🤣🤣Kutuma pesa kutoka kinshasa hadi dar es salaam ni mbali sana🤣
🤣Acha uongo ktk hili ,unabugi
Kuna vitenge vya ki congo hapa vip nikuleteeLioneee 🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe ndiomana unapenda ligi na dada zako?!! Mikorogo unayopaka ya Kongo imekula ubongo 🤣🤣🤣Kutuma pesa kutoka kinshasa hadi dar es salaam ni mbali sana🤣
Serious 😒, hii kauli itakugharimu, ume mix utani na ukweli, sijui utajiteteaje😂😂😂mi ngoja nilale kwa kweli...mi nimeolewa tayari japokuwa mume mwenyewe hanitunzi...ndiyo najisogeza kwa kina Charles kilian
Mie mume wa mtu😂😂😂mi ngoja nilale kwa kweli...mi nimeolewa tayari japokuwa mume mwenyewe hanitunzi...ndiyo najisogeza kwa kina Charles kilian
🙊unataka unifanyaje kwani?Serious 😒, hii kauli itakugharimu, ume mix utani na ukweli, sijui utajiteteaje
Anakujaza ktk 18,mie jana nimepokea $ 500 from kolweziKumbe ndiomana unapenda ligi na dada zako?!! Mikorogo unayopaka ya Kongo imekula ubongo 🤣🤣🤣
Basi sibishani na wewe tena!!!
Mimi ndio niliyesababisha apigwe ban kama hujui alikuwa ana fanya umbea mwingi mpaka ikawa shida ndio nikamreport na hiyo id yake nilishaijua kitambo sana mkuu.Jiulize kwa nini alipigwa banned 😂
Nami mke wa mtuMie mume wa mtu
Kitenge cha jero sio??? 🤣🤣🤣Kuna vitenge vya ki congo hapa vip nikuletee
Hapana ,sina chakufanya🙊unataka unifanyaje kwani?
🤣Nami mke wa mtu
OkNami mke wa mtu
Kwasababu alikutolea posa laki ukagoma unataka iongezwe elfu 50 na wakati masijala wamebomoa 😂😂😂😂Jiulize kwa nini alipigwa banned 😂
Ndio ila sio jero ya tz ni USDKitenge cha jero sio??? 🤣🤣🤣
We ni mnokoMimi ndio niliyesababisha apigwe ban kama hujui alikuwa ana fanya umbea mwingi mpaka ikawa shida ndio nikamreport na hiyo id yake nilishaijua kitambo sana mkuu.
Ni demu huyo shauri yako na ni mzuri kweli kweli