Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,299
- 9,797
Lindo linaboa sanaJamani mbona siwaoni?
Lindo linaboa sanaJamani mbona siwaoni?
Meliani wapi hapo,
nipe hints
nakuonea wivu mwananguMelia
Entrance pale
I mean no malice to nobody, kitambo Sana huja onekana 🤒
Nicheke mie 😂😂 kisa nininakuonea wivu mwanangu
No totoo… u know am ur big fan ehee.. 😂😂 keep hiding and avoidingnow you're making fun of me😢
Volcan atakuja kupata kesi ya mauaji iwapo Derlin atakuwa amepoteza maisha baada ya kumzamisha kwenye jacuzziMda wa tamthilia umeisha kwa wale wafuatiliaji, naomb muanze kusogea taratibu tuendelee tulipoishia
Volcan atakuja kupata kesi ya mauaji iwapo Derlin atakuwa amepoteza maisha baada ya kumzamisha kwenye jacuzzi
Kweli wapendanao hawaachani, wanapeana likizo tu
23:07
Kama mmlishaachana kuna haja gani ya kufanyiana utoto na drama....kwani watu hawajui ku-move onHuo ndo tunaita upendo wa kweli, mioyo ndo inazungumza
Kama mmlishaachana kuna haja gani ya kufanyiana utoto na drama....kwani watu hawajui ku-move on
Ila binafsi sina roho ya Visasi, naamini kupitia muda mchache wa mahusiano kuna vitu niliinjoi kutoka kwa mwenza yeye pia nahisi kuna sehemu nitakuwa nilimfurahisha.
Hivyo hakuna haja ya kujenga uadui
Labda kwa kuwa ni tamthiliya, hivyo tukae kwa kutulia
23:14

nacheka ila naogopa soon tu nitaend kuanzisha familia na kijana wa watu tulio kutana ukubwan kila mtu na tabia zake, sijui kama nitakua nakuja huku kupiga kelele au nitakua busy kupepea ndoa
, all in all nitawamiss sana Moyo wangu upo huku