JamiiForums Usiku wa manane
Hivi wewe na mimi nani mwl.na nani mwanafunzi?
Nikumbushe tafadhali maana nishasahau kabisa
Wote ni wanafunzi na wote ni walimu.
Utofauti wetu:-
Mimi sikutozi pesa, wewe unatoza (naumia sana)
Mimi natumia bakora kwenye ufundishaji (hapa kidogo afadhali napunguza machungu ya ada)
 
Back
Top Bottom