Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Kwakweli hata sijui, maana hata keybodi siioni vyema nabahatisha tuA
Likuwa anaambiwa nani?
Mbona moyo umenipasuka paaaa

Kwakweli hata sijui, maana hata keybodi siioni vyema nabahatisha tuA
Likuwa anaambiwa nani?
Mbona moyo umenipasuka paaaa

Na ungependa kuelewa chochote Thad?Kwa kweli nimeshindwa kuelewa chochote![]()
![]()
![]()
![]()
wacha niondoke hapa maana mwishowe nitaiharibu j3 yangu kwa hasira....
Ila siwalaumu haya ndio madhara ya kurithi sura ya babu mzaa baba na umbo la mjomba wangu aliyekuwa baunsa wa magereza band...![]()
![]()
![]()

Bora tu ukalale upumzishe hayo macho sasaKwakweli hata sijui, maana hata keybodi siioni vyema nabahatisha tu![]()
![]()
Itabidi unambie siri ya urembo wako wa kutokulamba banUwiiii mie mhenga mkuu
Tuna tuzo tunapewa tukiwa wahenga wenye nidhamu. Kwanza sijawah lamba ban
Teh nalala mkuu byee

Akisema natafuta funguo nyingine halafu niwe mpoleItabidi unambie siri ya urembo wako wa kutokulamba ban![]()
![]()
![]()
utamu wa makinkia si mchezoHujagi kwenye jukwaa la Makinikia ndio maana hupati ngumi za modsPunguza utukutu![]()
![]()
![]()
Hahaha bakora huwa naiacha mlangoni nikiingia darasani mpaka muda wa kutoka ndo naondoka nayoKwa hii dakika moja ilosalia niwakie wote uck mwema
Namuona my kaka katia timu nilitamani niseme nae ila muda nao umenitenga
Najua fika kaja kwa mwanafunz kumfundisha
Kaka umekumbuka kuja na Bakora?

Teh...
Mwandiko wako ni kama wa mvulana/mwanaume vile.
mwalimu wangu Nleterewa Nganengo..kwani ulinifundisha huu mwandiko wa kiume ?

Lala unono,
mkabidhi funguo kaka yako maana hata mimi nalala zangu,Mwifa pia anatakiwa alale ili akue![]()
![]()

Kwanini sasa umesoma yasiyokuhusu?![]()
![]()
![]()
Hata hajaniambia
Na kweli, ngoja nimalizie balimi yangu, ndo niondoke kulalaBora tu ukalale upumzishe hayo macho sasa
Ndio,nieleweshe....Na ungependa kuelewa chochote Thad?
Usiku mwema komredi, ukiamka asubuhi msalimie aliyekupeleka kwa kitanda.Usiku mwema wote.
Mtoto ngoja alale kwenye kochi kwanza kabla hajapelekwa kitandani
Usinicheke mkuu,nionee huruma mwenzio maana wahenga walisema hujafa hujaumbika...
