Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,401
- 31,651
Ndio maana nimeamua kuongeza mwanafunzi mwingine ktk darasa nitakalo kufundisha. Chaajabu naona kama mnakwepana yaani hampendi kukaa darasa mojaDarasa la watu wawili mmoja akiwa mwanafunzi na mwingine mwalimu linaboa sana, kuwa mwalimu haimaanishi unajua everything, kuna vitu vipya tunajifunza kwa wanafunzi pia![]()


