Shetta
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 445
- 798
Na hapo bado ujasema.... Au niloge usilaleAiseee mbon haujasema mapema nip najiuliz huu usingiz unatoka wapi kumbe ni ninyi mshafany mambo yeno daah
Na hapo bado ujasema.... Au niloge usilaleAiseee mbon haujasema mapema nip najiuliz huu usingiz unatoka wapi kumbe ni ninyi mshafany mambo yeno daah
Wakuu nimeskia mtu kaniita mara mbili huko nje, sauti ya kike nmesita kuitika ila nimechungulia sioni mtu yeyote [emoji26] nimekemea kimoyo moyo hapa isijekuwa wanga.
Usiku mwemaAisee wana eeh mwenzenu nmefika mwisho apa, naomb niwatakie usik mwema tutaendelea tulipo ishia mwenyz Mungu akijalia
Usiogope ni mambo yakawaida nilichozingatia ni kutokuitika. Wanadai ukiitika ni rahisi kufanya jambo.Weee acha basi maskhara ujue saiv ni usik[emoji3064],,
Mapema hiiAisee wana eeh mwenzenu nmefika mwisho apa, naomb niwatakie usik mwema tutaendelea tulipo ishia mwenyz Mungu akijalia
Cha asubuhiKumekucha
Hapa umenena, nahisi atakua na dawa za kutoka America huy
Hii haihusiki ni asubuhi wanafunzi wako njiani kwenda shule.05:55🥂
🤣🤣🤣 Tabia mbaya hiyo🥴Cha asubuhi
Hahahaha🤣🤣🤣 Tabia mbaya hiyo🥴
habari ya usiku mkuu
Kumbe bado upo kwenye himaya ya Melo bro...