Shetta
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 445
- 798
Piza ya kabej ndio inakuwaje au ni mbayaApan ni Piza ya kabeji![]()
Piza ya kabej ndio inakuwaje au ni mbayaApan ni Piza ya kabeji![]()
Piza ya kabej ndio inakuwaje au ni mbaya
Chaap kwa haraka unajitwalia mbibi wako 😂Naanza mazoezi yakuongea kama shehe, atatulia tu, Half_American akinipatia dawa, tayari wetu
wanga tutakufikia ulale saivi mda wetu huu wa kulogaJarib ku gugo
wanga tutakufikia ulale saivi mda wetu huu wa kuloga
Na hapo bado ujasema.... Au niloge usilaleAiseee mbon haujasema mapema nip najiuliz huu usingiz unatoka wapi kumbe ni ninyi mshafany mambo yeno daah
Wakuu nimeskia mtu kaniita mara mbili huko nje, sauti ya kike nmesita kuitika ila nimechungulia sioni mtu yeyotenimekemea kimoyo moyo hapa isijekuwa wanga.
,,Usiku mwemaAisee wana eeh mwenzenu nmefika mwisho apa, naomb niwatakie usik mwema tutaendelea tulipo ishia mwenyz Mungu akijalia
Usiogope ni mambo yakawaida nilichozingatia ni kutokuitika. Wanadai ukiitika ni rahisi kufanya jambo.Weee acha basi maskhara ujue saiv ni usik,,
Mapema hiiAisee wana eeh mwenzenu nmefika mwisho apa, naomb niwatakie usik mwema tutaendelea tulipo ishia mwenyz Mungu akijalia
Cha asubuhiKumekucha
Hapa umenena, nahisi atakua na dawa za kutoka America huy
Hii haihusiki ni asubuhi wanafunzi wako njiani kwenda shule.05:55🥂