ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,700
- 57,173
Sorry mkuu nilikuwa namaanisha kuacha pombe suddenly na sio demu....demu ndio tushaachana ila hilo halinisumbui sana tatizo kubwa kwa sasa nataka kuwithdraw alcohol kwa sababu za kiafya hasa kupoteza appetite kbs ya kula ila ndo nisipokunywa usiku hata mmoja napata mawenge balaa sio ya kawaida.Demu mmeachana au?
