Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,543
- 4,466
Nimepata demu kaja nigongea muda huu anaoga
Kumbe ndio maana hulali
Hahahahaaa kumekucha au badoKumbe ndio maana hulali
Dah shift napokea 03:30am0304
Demu mmeachana au?Duh hallucinations zinanikumba .wee kuacha people suddenly sio poa kbs yataka moyo
Je Akili haina Mikunjo wrinkles is anikwepaboKumbe ndio maana sura yangu ina mikunjo. Jana nimelala saa 8, leo saa kumi nipo macho. Miaka 40 tutafika kweli??
Mikunjo ya akili au ubongo??? Akili is a software part can only be felt, while Ubongo can be touched n seenJe Akili haina Mikunjo wrinkles is anikwepabo
Ok what do you Afraid if ur software is safe ?Mikunjo ya akili au ubongo??? Akili is a software part can only be felt, while Ubongo can be touched n seen
Sorry mkuu nilikuwa namaanisha kuacha pombe suddenly na sio demu....demu ndio tushaachana ila hilo halinisumbui sana tatizo kubwa kwa sasa nataka kuwithdraw alcohol kwa sababu za kiafya hasa kupoteza appetite kbs ya kula ila ndo nisipokunywa usiku hata mmoja napata mawenge balaa sio ya kawaida.Demu mmeachana au?
Njia ya kujitoa katika ulevi ni kuongea mwenyewe kuwa I'm no longer drunkerSorry mkuu nilikuwa namaanisha kuacha pombe suddenly na sio demu....demu ndio tushaachana ila hilo halinisumbui sana tatizo kubwa kwa sasa nataka kuwithdraw alcohol kwa sababu za kiafya hasa kupoteza appetite kbs ya kula ila ndo nisipokunywa usiku hata mmoja napata mawenge balaa sio ya kawaida.