JamiiForums Usiku wa manane
Unapambana unajibana, mwenzako asie na malengo hela anayopata anakula bia kidibwi anapata lishangazi lenye kitengo linampa mtaji anatoboa,

Nawewe unatamani una tafta lishangazi linakupa magonjwa.

Kuna mda maisha ni bahati, kaa kwenye njia yako achana na bahati za watu.
Yamekusibu yapiiii?
Mwaga mastory
 
Back
Top Bottom