Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,275
- 89,291
Dah hashahahaa ngoja nianze kutembeza kahawa na mimi usikuMuda wa kusaka noti
Hakuna kulala
Dah hashahahaa ngoja nianze kutembeza kahawa na mimi usikuMuda wa kusaka noti
Hakuna kulala
Akikuacha tu imekula kwakeUnajua mchumba anakuwa ashaposwa....aliyeniposa akiona hii it's yako utasalimika kweli? 😕
niko hapa nasubiri mshangazi wangu unakuja kunichukuaDah hashahahaa ngoja nianze kutembeza kahawa na mimi usiku
🤣🤣Kuna posho SasaBasi posho ya Mwenge share..😁😁😁
Kwa kweli,hajui kuwa nilipofikia ...kojoa mpaka damu lakini kitu hakitiki ng'ooo🤒Hakufahamu vizuri huyu
Aniulize nimsimulie kidogo
Hakikisha hukosi visheti chiefDah hashahahaa ngoja nianze kutembeza kahawa na mimi usiku
🤣🤣🤣Sijui alipotelea wapi?Bora huyo Kuna yule aliekua ana Dislike comment ya mtu mmoja mara mia...
Aya maisha kuna muda ukicheki unaona kama upo kwenye movie ya Kivietnam.🤣🤣Kuna posho Sasa
Hapa nasubiri rokoo ya saa 8 usiku kama mfungwa
This is Africa 🤣🤣🤣
Alipigwa ban ya maisha🤣🤣🤣Sijui alipotelea wapi?
Alichange ID🤣🤣🤣Sijui alipotelea wapi?
😳 Wee, sema kweli? Siyo wewe uliyeniambia una wake wanne na bado unaongeza...nikakimbia maana si wote twapenda hekaheka za uke wenzaAkikuacha tu imekula kwake
Mimi nakuposa chap
Atukua hana bahati
Ajaribu aone.....
🤣🤣🤣 Alikuwa na majibu yenye kiburi huyo balaa 🤭Alipigwa ban ya maisha
😳Then Kawa mpole🥴Alichange ID
Mpka baadhi ya member walimfungulia thread kuomba apigwe ban😆 mazima🤣🤣🤣 Alikuwa na majibu yenye kiburi huyo balaa 🤭
Ulikua ukifungua notifications unakuta rangi nyekundu tu.😳Then Kawa mpole🥴
🤣🤣🤣Alitisha sana🙌Mpka baadhi ya member walimfungulia thread kuomba apigwe ban😆 mazima
Pamoja ndugu yangu🙏💪, more love less ego.Samahani mkuu niishu ya tying nimekosea...
🤣🤣🤣Alituweza kweli aiseeUlikua ukifungua notifications unakuta rangi nyekundu tu.
Alikua anaitwa ye34be sijui na mwingine jina la halamu.Mpka baadhi ya member walimfungulia thread kuomba apigwe ban😆 mazima