JamiiForums Usiku wa manane
Niliona umekula ban best, basi ikabidi niwe msomaji kimya kimya nisllije ungana na nyie nikose umbea. Yaani kila kona bro anamwaga madini

Bro anatoa madini balaa
Nasemaje kazi iendelee mpk kucheeee
 
Hivi ni nani aliyeweka limguu kubwa selfika, unajua picha hazifunguki zote mpaka nitumie web na siipendi....maana nimecheka kweli umemkomalia mwenye limguu lake

warembo wa JF wa mtengo sate kwacha
 
Mbona nipo kule 🤣🤣🤣🤣
Jana wanga walikua wanagonga cheers eti tumepewa ban, yani tunawatetea wasipewe 30k kumbe hawapendi wenyewe wameridhika na pesa za vocha
30 k ndo mshahara nalipwa, kwa kuchunga mbuzi 🤒🤒.
👉USI ichukulie simple, ebo😂
 
Back
Top Bottom