Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,365
- 91,919
🤭Hahahahaha
🤭Hahahahaha
Mr ambassador Ume nifata na Huku. Kuni popoa 😁😃😃kama jf inaendeshwa for profit, basi lazima censorship iwepo
na huku usiku wa manane inabidi mod wapite napo.. 😅😅😅😅.. Jf imekuwa kijiwe cha majungu na danguro...Mjep, National Anthem mje Huku ndugu zangu😁😃
trudie hauja niambia jina la kale?Wakifunga na huku sijui tutakeshea wapi jamani...Leo kumetokea nn hadi wamefunga mmesutana tena????
Uwoga to😁😃😃, subiri saa 6 uje😁22:46
Dah acha kuni taja😁😂😂
Uni oneshe ka pic please😃🤗😂Anaitwa Railat ( sijui ndio inaandikwa hivi) kuwa mpole kaka nitakukamilishia kila kitu
Acha nianzishe kampeni.. hii wapite nayo.. 😅😅😅.. hatutaki viringe vya walozi.. Leo nipo na shemeji yako wa JF.. tumemaliza kulala samaki choma.. samaki samaki.. tunasogea hotelin kupumzikaDah acha kuni taja😁😂😂
Kama gangster subiri mida ya wanga, uki chafue😂😃😃ebu niache na wewe
Dah mkuu mchawi 400 ya nauli nije😂😃Acha nianzishe kampeni.. hii wapite nayo.. 😅😅😅.. hatutaki viringe vya walozi.. Leo nipo na shemeji yako wa JF.. tumemaliza kulala samaki choma.. samaki samaki.. tunasogea hotelin kupumzika
😅😅 uje ukufanyaje.. nipo na mshangazi wangu.. ume take risk .. kuja kuunganishwa kwenye grid ya taifaaDah mkuu mchawi 400 ya nauli nije😂😃