JamiiForums Usiku wa manane
Wakifunga na huku sijui tutakeshea wapi jamani ...Leo kumetokea nn hadi wamefunga mmesutana tena????
Kule Kuna unafki mwingi sana, ni bora tu walivyofunga.

Watu wanasifiana sana hadharani, alafu huko sirini wanapondwa hatari.

Kule kuna wanaume wenzetu wametusaliti wamevunja kanuni, ni wambea hatari
 
Kule Kuna unafki mwingi sana, ni bora tu walivyofunga.

Watu wanasifiana sana hadharani, alafu huko sirini wanapondwa hatari.

Kule kuna wanaume wenzetu wametusaliti wamevunja kanuni, ni wambea hatari
Ule uzi ulikuwa kama dunia ya peke yake ndani ya JF...... Ila ulikuwa unachangamsha sana kwa sisi wasomaji, hope watabadirika maugomvi na unafiki usiendelee kwenye nyuzi nyingine.
 
Sio kwamba sikupendi, Ila sitaki tu mazoea.
FB_IMG_16940216110136012.jpg
 
Ule uzi ulikuwa kama dunia ya peke yake ndani ya JF...... Ila ulikuwa unachangamsha sana kwa sisi wasomaji, hope watabadirika maugomvi na unafiki usiendelee kwenye nyuzi nyingine.
Hiyo haiwezekani. Sababu hizi tabia bado watu wapo nazo
 
Back
Top Bottom