Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,353
- 96,637
Nike niangalie vichwa vya samaki😁, nime sikia hamlagi huko😂😃😅😅 uje ukufanyaje.. nipo na mshangazi wangu.. ume take risk .. kuja kuunganishwa kwenye grid ya taifaa
Nike niangalie vichwa vya samaki😁, nime sikia hamlagi huko😂😃😅😅 uje ukufanyaje.. nipo na mshangazi wangu.. ume take risk .. kuja kuunganishwa kwenye grid ya taifaa
Kule Kuna unafki mwingi sana, ni bora tu walivyofunga.Wakifunga na huku sijui tutakeshea wapi jamani...Leo kumetokea nn hadi wamefunga mmesutana tena????
Yaachwe kule kule. Huku ni maisha mapya.Kule Kuna unafki mwingi sana, ni bora tu walivyofunga.
Watu wanasifiana sana hadharani, alafu huko sirini wanapondwa hatari.
Kule kuna wanaume wenzetu wametusaliti wamevunja kanuni, ni wambea hatari
acha nikamuambikize kwanza mtu ukimwi wa bukoba.. usiniwekee kiwingu 😅😅😅Nike niangalie vichwa vya samaki😁, nime sikia hamlagi huko😂😃
Huku mitongozi inaruhusiwa.. watu tulianzishe upya 🤨🤨Yaachwe kule kule. Huku ni maisha mapya.
Hakuna hiyo kitu, unafikiri wale wambea nao wameacha? Wale ni kula nao sahani mojaYaachwe kule kule. Huku ni maisha mapya.
Ule uzi ulikuwa kama dunia ya peke yake ndani ya JF...... Ila ulikuwa unachangamsha sana kwa sisi wasomaji, hope watabadirika maugomvi na unafiki usiendelee kwenye nyuzi nyingine.Kule Kuna unafki mwingi sana, ni bora tu walivyofunga.
Watu wanasifiana sana hadharani, alafu huko sirini wanapondwa hatari.
Kule kuna wanaume wenzetu wametusaliti wamevunja kanuni, ni wambea hatari
Uzi watu pendwa uko wapi😕
subiri, kwanza ms eyes anataarifaUni oneshe ka pic please![]()



Ume rip😂🤣Uzi watu pendwa uko wapi😕
Sawa. NitarudiKama gangster subiri mida ya wanga, uki chafue![]()



Hiyo haiwezekani. Sababu hizi tabia bado watu wapo nazoUle uzi ulikuwa kama dunia ya peke yake ndani ya JF...... Ila ulikuwa unachangamsha sana kwa sisi wasomaji, hope watabadirika maugomvi na unafiki usiendelee kwenye nyuzi nyingine.
Ko mpo huku nyie vichwa maji ngoja nipige ban wote 🐒🐒🐒Ume rip😂🤣
Dah 😃😁