JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Wewe bado unawashwa na mimi sio? Kama umetungiwa story mbona ulikimbia? Mbona huyo demu hajaja kukanusha? Ulizani mimi mnafiki kama wewe, hukujua kama ninataarifa zako. Usijifanye innocent mbele za watu, wewe ni mbwa tu mla mizoga. Una post madem classic, unakula pimbi kama Tinsley.

Acha unafiki, hata huyo pimbi alichokwambia kunihusu ni kile nilichoamua mimi ajue kwa lengo la kumkwepa. Halafu ulidai unaenda Arusha kunitafuta, huko mbali sana, niko karibu na wewe kuliko alivyokudanganya. (hiyo location ilikuwa decoy tu) . Tafuta siku, pendekeza location nije ili useme vizuri shida yako. Fanya hivyo, huyo malaya wako Tinsley awepo pia.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kaka kila nikiona comment yako wewe elewa nakuombea uishi miaka mingi
 
  • Thanks
Reactions: 511
Bora jana nililala mapema, haya sasa kumekucha tukachanganyikiwe na maisha....Good morning wakeshaji wotee

Wewe si nilikwambia uwe unaniita? Hivi ushost wangu me na wewe wa vipi? Trudie sikuelewi ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe si nilikwambia uwe unaniita? Hivi ushost wangu me na wewe wa vipi? Trudie sikuelewi ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niliona umekula ban best, basi ikabidi niwe msomaji kimya kimya nisllije ungana na nyie nikose umbea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Yaani kila kona bro anamwaga madini
 
Mbona nipo kule [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jana wanga walikua wanagonga cheers eti tumepewa ban, yani tunawatetea wasipewe 30k kumbe hawapendi wenyewe wameridhika na pesa za vocha
Hivi ni nani aliyeweka limguu kubwa selfika, unajua picha hazifunguki zote mpaka nitumie web na siipendi....maana nimecheka kweli umemkomalia mwenye limguu lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Niliona umekula ban best, basi ikabidi niwe msomaji kimya kimya nisllije ungana na nyie nikose umbea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Yaani kila kona bro anamwaga madini

Bro anatoa madini balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nasemaje kazi iendelee mpk kucheeee
 
Hivi ni nani aliyeweka limguu kubwa selfika, unajua picha hazifunguki zote mpaka nitumie web na siipendi....maana nimecheka kweli umemkomalia mwenye limguu lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] warembo wa JF wa mtengo sate kwacha
 
Mbona nipo kule 🤣🤣🤣🤣
Jana wanga walikua wanagonga cheers eti tumepewa ban, yani tunawatetea wasipewe 30k kumbe hawapendi wenyewe wameridhika na pesa za vocha
30 k ndo mshahara nalipwa, kwa kuchunga mbuzi 🤒🤒.
👉USI ichukulie simple, ebo😂
 
Back
Top Bottom