JamiiForums Usiku wa manane
Mdomo uliponza kichwa... Kama una danganya ndunya wenzako una taarifa zangu endelea kuzikusanya.. Inshort ni hivi hutakaa uwe na amani maisha yako kuanzia leo..labda kama sio mimi..
Karibu sana, utapata haki yako unayostahili. Nilikuvungia ukaniona mjinga, sijatoka mkoa mimi, usivamie jiji hapa sio bukoba dogo.
 
Wewe bado unawashwa na mimi sio? Kama umetungiwa story mbona ulikimbia? Mbona huyo demu hajaja kukanusha? Ulizani mimi mnafiki kama wewe, hukujua kama ninataarifa zako. Usijifanye innocent mbele za watu, wewe ni mbwa tu mla mizoga. Una post madem classic, unakula pimbi kama Tinsley.

Acha unafiki, hata huyo pimbi alichokwambia kunihusu ni kile nilichoamua mimi ajue kwa lengo la kumkwepa. Halafu ulidai unaenda Arusha kunitafuta, huko mbali sana, niko karibu na wewe kuliko alivyokudanganya. (hiyo location ilikuwa decoy tu) . Tafuta siku, pendekeza location nije ili useme vizuri shida yako. Fanya hivyo, huyo malaya wako Tinsley awepo pia.

kaka kila nikiona comment yako wewe elewa nakuombea uishi miaka mingi
 
  • Thanks
Reactions: 511
Bora jana nililala mapema, haya sasa kumekucha tukachanganyikiwe na maisha....Good morning wakeshaji wotee

Wewe si nilikwambia uwe unaniita? Hivi ushost wangu me na wewe wa vipi? Trudie sikuelewi ujue
 
Mbona nipo kule
Jana wanga walikua wanagonga cheers eti tumepewa ban, yani tunawatetea wasipewe 30k kumbe hawapendi wenyewe wameridhika na pesa za vocha
Hivi ni nani aliyeweka limguu kubwa selfika, unajua picha hazifunguki zote mpaka nitumie web na siipendi....maana nimecheka kweli umemkomalia mwenye limguu lake
 
Back
Top Bottom