Wewe bado unawashwa na mimi sio? Kama umetungiwa story mbona ulikimbia? Mbona huyo demu hajaja kukanusha? Ulizani mimi mnafiki kama wewe, hukujua kama ninataarifa zako. Usijifanye innocent mbele za watu, wewe ni mbwa tu mla mizoga. Una post madem classic, unakula pimbi kama
Tinsley.
Acha unafiki, hata huyo pimbi alichokwambia kunihusu ni kile nilichoamua mimi ajue kwa lengo la kumkwepa. Halafu ulidai unaenda Arusha kunitafuta, huko mbali sana, niko karibu na wewe kuliko alivyokudanganya. (hiyo location ilikuwa decoy tu) . Tafuta siku, pendekeza location nije ili useme vizuri shida yako. Fanya hivyo, huyo malaya wako
Tinsley awepo pia.