Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,365
- 91,920
Oo kumbe....wamewahi sana
Oo kumbe....wamewahi sana
Kitu umefanya kaka...unafikiri kwanini nimekuuliza kama umenusurikaNime pigwa ban ya selfika tu, Japo Sija fanya kitu
![]()




...Oya na mpango wa kuoa 2030, vipi hamna manzi was kitanga au mwarabu![]()




inaonekana unapenda sana waarabu....ngoja nichunguze kwanza pdf lako likiletwa Selfika ndio nitakuunganishia katoto keupee ka kiarabuJamani mbona wengi wame pona😁🤣Kitu umefanya kaka...unafikiri kwanini nimekuuliza kama umenusurika...
Sina na sita wahi kuletewa PDF la mchongo😁🤣🤣🤣, fanya uhakika trudieinaonekana unapenda sana waarabu....ngoja nichunguze kwanza pdf lako likiletwa Selfika ndio nitakuunganishia katoto keupee ka kiarabu
Na wewe una niua 😁🤣🤣😂aje rafiki yangu To yeye anipe maisha.. kwanza 😅😅😅.. ila huu uzi mnatakiwa kusogeza pua saa 00:00.. inakuwaje mapema tu mpo hapa
Kula mchemsho wa bilinganya ,unasaidia ...ikishindikana subiri tukutaftie mbung'o wakung'ate tuMbona namezaga, still hamna maajabu![]()

Nipo nimeka pale selfika nasubiri....